Home
Unlabelled
mrithi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu dada naipenda sana sauti yake. Michuzi naomba picha ya Mama wa masanga sista vii
ReplyDeleteana sauti nzuri,lakini hilo domo,utazani anapuliza moto.
ReplyDeleteamtokea unyarugusuni huyu
ReplyDeleteNamfagilia sana ka sauti kake, japo kidogo niko nimefedheheka. Nilifikiri yuko zaidi ya hivi alivyo, asante kutusaidia kuwafahamu hawa ma supa staa wa Bongo.
ReplyDeletewote ambao mmemuona huyu dada halipi hebu mpeni michuzi picha zenu ziwekwe hapo(kwenye blogu) tuone kama "mtauzika". Acheni hizo wabongo, pyeeeee nyiingi. eeh! mtafuteni "fizikali mumuone na ndio m"koment"
ReplyDeleteAsante sana abdiwamo kwa mchango wako kujaribu kuwapa hawa"dugu" matumizi mazuri ya mtandao huu ambao kwao matusi na kukosoana kusiko na msingi ndio wanayapa kipaumbele. keep it up brooo!!!
ReplyDeleteTuwe waastaarabu, tu"komenti" kitu katika misingi inayokubalika iwe ni hasi au chanya.
Michuzi naoma nijue MARITAL STATUS ya huyu dada mrembo na mwenye sauti nzuri sana. Naweza nikaamua kuchukua jumla jumla
ReplyDeleteJack Jackline Kombe... ana sauti nzuri huyo!!!!
ReplyDeleteUkimuona huyu dada fizikali utazimika mwenyewe, akiwa amepiga mapigo yake, ana mguu umetulia wewe acha mchezo!!
ReplyDeleteWee Anony 8:31 PM toka lini mchaga akawa na mguu mzuri. Au unataka kuwasanifu wachaga jamani
ReplyDeleteoyaaaaa! we An'8:31 acha maneno mbofumbofu dogo, wachaga siku hizi wamechangamka kwa kuchaguana ili wasiharibu maumbile ya vizazi vya watoto wao. Hiyo kesi imebaki kwa wambulu kama unawajua but kwa wachaga sio sana. Jaribu kufanya tathmini kabla ya"kuwahi" kuchangia
ReplyDeleteJakyuiline,sijakuona full,lakini kwa utaalamu wangu nilionao juu ya ugunduzi,una sifa nyingi ambazo ni nadr kwa wanawake wengi!MICHUZI, please!naomba picha full ya huyu dadie!
ReplyDeleteAkae ubavu kidogo mgongo(bodi)ionekane,asivae suruali au nguo ndefu sana!Hiyo picha ntalipa mie!
eti kaka michuzi ni kweli huyu dada karibia anaoolewa na mchumba wake anaishi uingereza au ni porojo za wabongo tu!naomba jibu michuzi.
ReplyDelete