taa za barabarani zinatengezezwa siku hizi, toka iundwe wizara ya maendeleo ya miundombinu kuna kitengo maalumu kwa kazi hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2006

    Michuzi, hapo kuna ulaji gani? Mbona askari wanne wanasimamia ukarabati wa taa mmoja?

    ReplyDelete
  2. hao trafik wote ni mafundi wazuri wa hizo taa tena ni wazuri kushinda hao wa wizara sasa wakiona fundi analipua inawauma ndio maana wamejazana hapo, michuzi pia aliwahi kuwafotoa hao trafik wakiwa wanakarabati hizo taa, halafu zikiharibika wanakosa ulaji maana muda wa kupiga bao magari hakuna wanakuwa busy kuyaongoza

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 30, 2006

    Labda macho yangu, Rhxoqsa hizo siyo trafiki laitis bali ni striti laitis hata zikiharibika haziwezi kusababisha msongamano wa magari, hata kidogo

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 30, 2006

    Hapa ni polisi ya salenda briji.. na ndio maana polisi wapo wengi.. maana wazee saa yeyote wanapita

    ReplyDelete
  5. Anony 8:01 pole sana nitakutumia miwani au labda hujazoea hizi taa, inategemea uko wapi labda ughaibuni au hapa bongo kwenye miji kama mtwara,mbeya na kwingineko ambako hamna hizi, kuna jamaa kazaliwa na kakulia znz siku alipokuja bara akaenda stand ya mkoa (ubungo) eti kuangalia mabasi kumbe zenji basi kubwa ni coaster, alipokutana na marcopolo au zile double reduction za Buffalo wacha atoe macho

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...