jk akiwa na choki enzi hizo akiwa waziri na mbunge wa chalinze. choki anatokea kibaha, mkoa wa pwani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Enzi hizo JK ni waziri niliwahi kugongana naye dukani mitaa ya Mlandizi, alikuwa ameshuka kwenye gari kajichanganya dukani kupata soda yaani jamaa alikuwa free kinoma

    ReplyDelete
  2. samahani sam. huyo choki ni mwanamuziki maarufu wa bendi ya african stars wanatwanga pepeta. nilijisahau kuwa mpo ambao mmeondoka longitaimu bongo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...