Home
Unlabelled
kempinski
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo mahali nasikia rates zake ni moto wa kuotea mbali hata kwa wenye nazo.
ReplyDeletehii hoteli ni bomba sana
ReplyDeleteHivi kwanini Tanzania inafanya mambo hivi siku hizi tangu Mwalimu Nyerere ametutoka. Viongozi waliokuwa wanaficha makucha kwa kumheshimu Mwalimu, wameonyesha makucha yao. Ona mpaka mabeberu wako tele Bongo, na inakuwaje wanaruhusiwa kuuza mali za Serikali? Maji yanamilikiwa na wageni, Tanesco pia, Simu pia, Kilimanjaro Hotel ilikuwa mali ya Serikali sasa sio tena, na mambo mengi tu, wanakuja kuwekeza na watu wao wananchi wenzetu hapatati ajira. KWELI TUTAKUJA KUTAWALIWA SIKU MOJA, MARK MY WORDS. NCHI YOTE ITAUZWA. Kweli inasikitisha ni mengi tu. hatuwezi kuandika yote kwenye bulogu.
ReplyDelete