hi ni mojawapo ya picha zangu za mwanzo deliniuzi: ni mwaka 1990 na madiba pamoja na winnie walitembelea dar mara tu baada ya nelson kuachiwa huru. je ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini siku hii ya kihistoria? mie, kama picha inavoonesha, nilikuwa neshno

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2006

    Haya ndio mambo! super michuzi. Tumechoshwa na ma miss

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 06, 2006

    Mie nilikua PAKISTAN CENTRAL PRISON, na waobo wengine kama hivi.Aaah! maisha bwana kasheshe.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 06, 2006

    Umenikumbusha wakati huo nilikua nasoma form two makurumla shule yetu hatukupewa ruhusa ya kwenda kumlaki mandela tulichukia sana wengine walitoroka na mvua kubwa ilinyesha siku hiyo usafiri jioni ulikua taabu sababu watu wengi walienda kumlaki kwa hiyo kurudi ikawa sheshe.

    ReplyDelete
  4. Wakati huu nilikuwa sayari ya xsalundha, kipindi hicho kabla sijaja kwenye hii sayari yenu mnayoiita dunia sisi tulikuwa tunaijua kama laplquk kule kwetu nilifanya soo ndio nikakimbilia huku

    ReplyDelete
  5. Nilikuwa bwenini tumeizunguka redio ya mkulima ikitupatia habari.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...