sabasaba imeshaanza rasmi leo na kakibanda ka photo point nako kapo kama kawa. hapa mc henjewele ni mdau wa kwanza katutembelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 01, 2006

    Kweli mko GADO. KEEP IT UP!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2006

    michuzi umemtoa wapi huyu mtu aisee jamaa mc bomba sana aliwahi kuwapo mg kwenye harusi moja(ilifana sababu yake)na nyingine kama mbili zaidi pale mg, nampongeza sana ongeza juhudi bwana henjewele au ameacha u-mc maana nazungumzia miaka ya 1998-99,jamaa alikuwa na suti yake moja kama sikosei ya black and white/brown (draft) lazima aivae!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 03, 2006

    hongera michuzi

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 03, 2006

    mc poa sana huyu nilishamwona mg kama mara tatu hivi si mchezo!!!! michuzi mpe hongera zangu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 06, 2006

    Wewe unafikiri mg ni international?nadhani wewe ni mtu yule wa kasoro bahari ambaye unafikiri ukiandika mg watagundua ni wapi wale walioko hapo sasa wengine tupo nje ya MG tafadhali acha vifupisho vya aina hii ambavyo ni local sawa mjomba?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...