Home
Unlabelled
ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
namuomba huyo dada wa kati akatie SILIKONI manake mmmhh kandambili
ReplyDeleteWALA HUJAKOSEA KIM. YANI KWAKWELI WABONGO TUNAHARIBU SANA WAKATI MWINGINE, SASA HAWA DADA ZETU KUIGA MAVAZI AMBAYO NI KARIBU WAKO TU UCHI, MWILI WOTE UNAONEKANA NI KWAMBA WAMEZIBA MATITI TU NA HUKU CHINI, HAPANA HAIFAIN. INABIDI TUKUMBUKE TULIPOTOKA HATA KAMA UPO UGHAIBUNI, HAYA KAZI KWA WAZAZI WAO NI BAHATI BAAZI YA WAZAZI WETU WAHAJUI MAMBO YA MTANDAO KWAHIYO HAWATAONA HAYA MAMBO.
ReplyDeleteUpdates
ReplyDeletehttp://michuziissa.blogspot.com/
KWELI DADA WA KATIKATI ANAITAJI KUWEKA SILICON MAANA NI KANDAMBILI ASINGEVAA KIWALO CHA NAMNA HII, NA MATITI YA NAMNA HIYO. AMULIZE PETER RUPIA SILICON INAWEKWAJE NA NCHI GANI NI POA KWA UJUZI HUU, MAANA ALIMLIPIA GIRLFRIEND WAKE, IRENE. AKAWEKEWA KWENYE ZIWA MOJA BAADA YA OPERATION YA CANCER.
ReplyDeleteHELLOOOOOHHH!!! Tena ya herufi kubwa! Ndio maana kumbe hamuendelei? This is Milleniium babies! wake up! Wivu tu ndio unaowasumbua! huku tunaweza kuweka sillicon Summer, winter tunaondoa! Ukiona mtu kaamua kujiachia hivyo, mjue kapenda au anaipenda afya yake! Lakini kapendeza sana! hata kama mnamuita kandambili...ngozi yake ina thamani sana! inapata tharuji wither...What adout u?...Pigwa na jua!
ReplyDeleteWEE ANONY WA 9:04 HAPO JUU, UNAONGEA UTUMBO TU. TOKA HAPA. KAMA NI LAFIKI YAKO ALOPAKWA IMEBIDI IKUUME UTOE MAONI HAYO, WEE ULIE TU. MAANA UKWELI NI KWAMBA ASINGEVAA NGUO YA NAMNA HIYO. TUSIDANGANYANE HAPA NI UKWELI TU. KWA UZULI NI MZULI NDIO NAKUBALIANA NAWE KAMA KAWAIDA HUMU KWENYE BULOGU YA MICHUZI UKWELI UNATOLEWA WENYE SIFA NZURI WANAPEWA, LAKINI SI KUWAFICHA WATU, KWELI NALUDIA ASINGEJIAIBISHA KUVAA NA KUTOA PICHA YA NAMNA HII. KWANZA NIKUULIZE WEE NI MWAFRIKA MBONGO AU WA WAPI? KIASI HUWEZI KUSEMA UKWELI KWA LAFIKI YAKO? MANA INAONEKANA WAZI NI MTU ANAYEKUHUSU KUTOA MAONI YA UTUMBO KIASI HIKI. POLE.
ReplyDeleteAngalia kiswahili chako wewe hapo juu usituletee mambo ya Morogoro hapa:LAFIKI,UZULI, MZULI,NALUDIA,MANA,LAFIKI.
ReplyDeleteTuheshimu lugha yetu na tuitumie vizuri, kutokuwa makini ni hatari sana sawa?
Toka hapa shenzi wewe anony wa hapo juu 12:10:35 PM, ni kabila gani, kwani kuna kosa gani kuwa na wato alotoka Mologolo? kila kabila lina accent tofauti, wa Moshi wana accent yao, wa Bukoba wana accent yao, penye "L" wanaweka "R" kwa mana wamo humu naona maoni yao na hakuna anayewatukana au kutoa kashifa za namna hii vipi wewe, watu kama nyie ndio Bwana Michuzi anawalani. Muingie humu mukiheshimu maoni ya watu kama yanavyoheshimiwa yenu, hujalazimishwa kusoma. Unaonekana mbumbumbu kabisa wewe. Pole sana.
ReplyDeleteHuyo jamaa kakusaidia sana ila nashangaa unalipuka.Ni kweli hii blog wanaingia watu wengi na kwa jinsi hiyo lazima watu waandike lugha inayoeleweka na kutumika na wengi na hii ni hekima kuliko kuandika vile mtu anavyoongea kwao, itakuwa ni mtazamo finyu.Any way, siingii katika ugomvi wenu ila naona kosa ni la wewe hapo juu kuloko mwenzako.NI MTAZAMO!
ReplyDeleteHEY! WATU KAMA NYIE MSIOJUA MATUMIZI YA A, B, C, D, E, F... MLIOENDA VYUONI KUJIFUNZA KIISLAM AU....KAMA HUYU MWENYEWE MICHUZI MBONA MKIAMBIWA MAKOSA YENU MNACHARUKA? JEE, MLIKAA DARASANI NYIE KWENU? HAIJALI WAPI UNATOKA MAFUNZO YOTE NISAWA! INAITWA "RAFIKI, MAANA, NZURI, NARUDIA,...OK!"MSITUARIBIE WATOTO BURE AU USIANDIKE PUBLIC KAMA HAPA AMBAPO KILA DUNIANI MTU ANASOMA IS A SHAME!!! KWANI ELIMU YA WATU WAZIMA SIKU HIZI HAMNA HUKO? NI KWA AJILI YA WATU KAMA NYIE. SIWATUKANI NI WAZO ZURI SANA! IS TECHNOLOGY AND DEVELOPED WORLD! OK....
ReplyDeleteHebu acheni mambo ya ajabu nyie wote hamna point ya maana hasa wewe wa kutumia herufi kubwa. Nimesoma na watu wengi ambao darasani kama ulivyosema hujakosea tunafundishwa kitu kimoja na kiswahili fasaha. LAKINI binadamu tuko tofauti, maana naona watu wengine BADO wana mother tongue yao, hata mimi nashindwa kuelewa lakini siwakashifu maana najua NDIVYO WALIVYO. sasa tutafanyaje, hasa kuna wahaya wenye elimu kweli na vyeo vya juu LAKINI lugha wanayoongea ni hiyohiyo ya kijijini walikotoka, Boss wangu ni Muhaya na kila penye L anaweka R. na humu kwenye hii blog wako wengi wengine wameweka majina yao, lakina hamna sababu ya kuwasakama au kuwakosoa maadamu tunaelewa wanasema nini. Kwahiyo jamani enough, maana sasa naona mazungumzo yamehamia kukosoana na lugha. Asanteni.
ReplyDeleteBWANA MICHUZI, KWANZA HONGERA, MAANA MIE NACHEKA SAAAAAAAAAAAAANA HAPA, IT IS AMAZING JINSI MAONI YANAVYOANZA KUTOKANA NA PICHA YA WAHUSIKA HAPA JUU NA KUHAMIA KWA KUWATOSA WATU WENGINE KAMA NINAYOONA HAPA HAWA WANOITWA MALAYA WA KIUME WENYE TABIA CHAFU, THEN GUMZO LINAINGIA KWENYE KUKOSOANA KATI YA WANANCHI WENYEWE KWA LUGHA YAO YA KISWAHILI HEEEEEEEEEEHEEEEEEEEEHEEEEEEEEEEEE!KWELI BWANA MICHUZI NIMEGUNDUA SASA IF I AM BORED, DO NOT HAVE ANYTHING TO DO I WILL SURELY COME INTO YOUR INTERNATIONAL BLOG, MAANA HAPA NABURUDIKA SAAAAAAAAAAAAAAAANA BILA WASI WASI NA TIME INAPITA. NILIWAHI KUSOMA MAONI NA MWANANCHI MMOJA AMBAYE ALIKUFAGILIA SAAAAAAAAAAAAAAAANA TU NA SITASAHAU ALIPOSEMA KUWA, ANATABIRI HUKO MBELENI UNAWEZA UKAMILIKI TV SHOW KAMA YA YULE M-MAREKANI "JERRY SPRINGER" WALLLLLLAHI HAKUKOSEA KWELI NIMEJIONEA LEO NA NINAUNGANA NA MWANANCHI YULE. BABA HONGERA BABA MICHUZI WEEEEEEEEEEEETU WEEEEEEEEEEEE SIKUTEGEMEA HATA SIKU MOJA WATANZANIA TUNGEKUWA NA JOURNALIST KAMA WEWE. WENYE WIVU NAWE WATAJIJUUUUUUUUUUU.
ReplyDeleteLakini we dada mwenye boss wa "kihaya", hawa watu hawasimangani hii ni haki tupu! Hey, unaweza ukaongea kwa axent ya kila kabila, lakini lugha yetu tunafundishwa moja TZ yote, shule na mtihani ni mmoja! na ni dunia yote ukae ukijua. Kama boss wako aliandikaga "rakini" badala ya "lakini" kwenye mtihani angefail! lakini angefanya mtihani kwa kuongea akasema rakini angepass,...ok! Narudia msituharibie watoto!
ReplyDeleteWewe Anonymous wa 3:42:17PM naona UNA MATATIZO YAKO BINAFSI SASA, maana you keep on going on and on. Sijui huna kazi ya maana au maoni ya maana ya kuchangia humu. I do not have time to argue or countinuew to have this conversation with you. Obviously it is not going to get me or anyone anywhere. Kama nilivyosema NAHESHIMU WATU NA ACCENT ZAO TOFAUTI, nina boss wangu muhaya na yuko hivi, naona bora usijipotezee muda na pia kupotezea watu muda kwenye hii blog. Sasa Dada au Kaka, maana sijui ni kiumbe wa namna gani wewe. Just move on OK? leave it now. Heshimu kuwa binadamu wote tupo tofauti. Nakumbuka yule aliyekuwa Miss Tz EMILY ADOLF alikuwa interviewed ITV na marehemu SUZAN MONGI wakati ule. na watu walishangaa alichaguliwa vipi, maana kiswahili chake kilikuwa kote kwenye R anaweka L, nakumbuka alipojieleza kuwa alifurahi saaaaaaaaaaaaana kukutana uso kwa uso na MANDELA, na mazungumzo yao yalikuwa MANDELA alimsifu sana Mwalimu "NYELELE" instead of the obvious "NYERERE" lakini ndio alivyo. Kwaheri bwana, achana na hii topic sasa.
ReplyDeleteNARUDIA TENA, WE MWENYE BOSS WA KIHAYA! GET A LIFE KWANZA UJUE NI KINA NANI WANAOBLOG HAPA UANZE KUELEZEA HABARI ZA MA MISS WHOEVER! HUKO TWAJA KWA HOLLIDAY TU KWA TAARIFA YAKO, HATUWAJUI HAO MAMISS NA HATUTAKI! HATUONGELEI KUONGEA HAPA TUONGELEA MAANDISHI AMBAYO HAYAONGEI OK! NA HUYAWEZI KUYABADILISHA! I DON'T HAVE TIME TO WRITE 4 U OK! U CAN CALL ME ON 0045 35858008 NIKO DENMARK THEN WE CAN TALK, KAMA HAUWEZI GHARAMA GIVE ME UR COZ AM PACKED HERE IN COPENHAGEN!
ReplyDeleteJamani jamani kularekiii yeyeeee sasa watu wanaanza kukabana. wanafahamiana. Mimi wakati wa makonde kuleeeeeee!!!!!!!!!!! ööööööååååääää.
ReplyDeleteJamani mnajua kila dakika moja wanakufa watoto wangapi Tanzania? na nani ni cause?
ReplyDeleteSh Sh Shhhhhhhhhh! Michuzi kasema tupendane na tujenge taifa kupitia humu humu! Waacheni "mwenye boss wa kihaya" na "mbongodenish" wapashane kwenye simu.
ReplyDeleteHUYO MALAYA WA COPENHAGEN, KWELI HANA MAANA IMEBIDI NIINGILIE KATI HAPA, HUYU "MBONI" MWENYE BOSI WA KIHAYA HAJAKOSEA. UMEZIDI BWANA, TOKA HAPA, NDIO MAANA KWENU KUMEKUSHINDA IMEBIDI UHAMIE COPENHAGEN BILA SHAKA NI BOGUS REFUGEE WEWE. HAYA UNASEMA WENZAKO KWA KUANDIKA KISWAHILI AMBACHO SI SAWA SAWA. MBONA NAWEWE UMEANDIKA CHA HOVYO HAPA. -TWAJA- UNA MAANA GANI KUSEMA TWAJA???? NI KISWAHILI SAFI HICHOOOOO?? AAAAH SEMA TUNAKUJA, SIYO "TWAJA" JAMANI MUWE WAUNGWANA, HATA SIONI KISA CHA WEWE KUANZA HUU MJADALA WA KUKOSOA WATU, IN THE FIRST PLACE, WHO ARE YOU? HAMNA MTU MSHAMBA KAMA WEWE NA KWELI UNAJISHUSHA HADHI, ACHANA NA HAYA MAMBO, KUWA MSTAARABU. AAAAAH! HUNA KAZI YA MAANA. ACHILIA MBALI, MOVE ON. OK DOGO?
ReplyDeleteHeri mimi sijasema sasa mara cohagen, mara refugeeeeez, mara mimi kihaya, mara bos mimi sielewi ngoja nielekee zangu ubungo mapema nipande magari yangu ya kupitia dirishani kwenda mbagala. Hivi hawa wanajua hili kweli? wanangu chondechonde jamani, wazee wenu hatukuwatuma kufanya hivyo. Akikukataa mtu wewe achana naye, ni wengi mno duniani jajamani jamani mbona hivyo?
ReplyDeleteANONYMOUS WA JULY 9, 6:54. KWANZA WACHA KUMTUKUNA MWENZIO! TOKEO WAANZE MABISHANO NA MWENZIE HATUJASOMA TUSI HATA MOJA! HALAFU MBONA UNAINGILIA? JE KAMA WALISHAONGEA? UMBEA HUO! NA UNAMUONEA WIVU MWENZIO! WE UNASOTA NA JUA KAMA MIMI TU! KAMA UNAUCHUNGU NAE MPIGIE NUMBER YAKE HIYO HAPO JUU KAACHA!
ReplyDeleteANONYMOUSLY WA JULY 9,6:19:22PM, Wewe ndo basi tu pole sana na mimi natoa simu yangu piga/BEEEEEP HUWA MIMI ZIPO TU 0046739684218 HALAFU SEMA TENA. Wote ni anony tu. A.K.Y.A kama unataka weka jina.
ReplyDeleteLabda sijafuatilia mambo ya Tz siku nyingi sana!! Suzan Mongi amefariki?? Au ni Amina Mongi ndie aliyefariki???!!!!
ReplyDeleteKwa mtu aliyeenda shule ya primary miaka 7, hata kama ni muhaya au ni mtu wa morogoro, atatamka maneno kwa accent yake, but kuandika?, hell no, ataandika alivyofundishwa. I believe wanaoshindwa kuandika kiswahili sanifu hawakwenda japo primary school ambapo ndio tunafundishwa kusoma na kuandika
ReplyDelete