Home
Unlabelled
kazi nzuri, kijana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi nakuja kuoa karibuni nataka huyo jamaa hawe mc wangu je naweza kupta contacts. Naomba nijibu
ReplyDeleteKuna siku ilinifurahisha pale mkapa alipotetea bado uhamuzi wake wa kuuza mashirika ya umma kama karanga hata bila kufikiria/ushauri wa kutusha. Mimi nafikiri kila mtu anaweza kufanya kosa bila kujua na kukiri kuwa mikataba ipitiwe pale walipokosea waparekebishe lakini huyu jamaa bado tu anaona alifanya vizuri. Ananitia kizuinguzungu.
ReplyDeletejamani kama kuna kitu kinatia uchungu ni ile migodi na vitalu vya kuwindia yaani jamaa wanavuna kama vyao
ReplyDeleteJamani huyu mzee mk(mkapa) anapatikana wapi angalu animegee na mimi zile raslimali alizovuna wakati wake?
ReplyDelete