Home
Unlabelled
manji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naona yanga wanachukua sehemu ya Mabilioni yao waliyochangia NSSF
ReplyDeletetunashukuru sana kwa kuweka picha ya huyu jamaa anaesumbua wabongo, Hapa kisha ona ulaji mwingine wa kufadhili yanga. Kama mnavyo jua kuna njia nyingi za kupata msamaha wa kodi.
ReplyDeleteHii mikataba inatisha. Mwisho wa siku tusije tukaambiwa Klabu imebinafsishwa kutokana na vipengele vya mkataba.
ReplyDeleteHuu lazima huwe feki kabisa labda kama atabadilika sina uhakika make jamaa nasikia siyo mchezo. naona ametafuta umaarufu tena huyu mzee. washauri wake wako smart kabisa.
ReplyDeleteHuyu jamaa ni smart kwelikweli, baada ya kile kimbembe chake cha NSSF na Viwanja wa Chang'ombe kaamua kutafuta sympath kwa walalahoi. Kama kuna mtu anataka wajuba wamtoe roho amseme vibaya huyu jamaa sasa.
ReplyDeleteHii tamaa ya pesa itatupeleka pabaya Watanzania. Sasa hii klabu yangu imeingia mkataba na huyo ponjoro mbona itakuwa mbinde.
ReplyDeleteHuyu bwana kabla ya kukubali kuingia naye mkataba wowote tungesubiri kwanza asuluhishe ile kesi yake na Bw. Mengi.
Hapa anatafuta umaarufu tu na kujijenga kwa walalahoi. Na kweli kama mtoa maoni hapo juu aliposema, sasa hivi ukimsema vibaya huyu ponjoro wajuba wanaweza kukutoa roho!
Mtumeeeeee hivi hana haya huyu mtu ni chori yaani mwizi wa kimataifa, kila maoni yaliyotoka hapa ni ya ukweli kabisa, kubadilika bwana hawezi huyu, huo mkataba ni feki, huyu jamaa sio mchezo, na naona ni shapu kweli ana washauri wa uhakika, yaani baada ya kasheshe ya NSSF na Chan'gombe sasa yuko kwa walala hoi. Haya tutasikia siku moja club imebinafsishwa kutokana na vipengeli vya mkataba, jamani kama wazungu wanavyosema ALWAYS READ SMALL PRINTS I hope wamesoma kwa makini nakala zote, lakini SINA IMANI NAO KABISA. Samahani.
ReplyDeleteBwana Grill amezoza kweli, huyu mtu alikuwa wapi siku zote hizi yanga hakuiona? Shenzi taip tu huyu, ni MWIZI JAMANI, na ni kweli bwana Grill waTZ waluluga wamezoea kuburuzwa tu. ngojeni na maforena kibao hasa wa-Sauzi. haya ngojeni huko mbeleni TUTA-TAWALIWA, natabiri. Mwalimu NYERERE huko alipo peponi naona anasikitika sana mana alipinga sana haya mambo. lakini wamelowea sana na wameanzisha biashara kibao ambazo wanakuja na watu wao, wanauza vitu chipu, walalahoi wenzetu ajira hamna. Na waziwazi unakwenda mahotelini, mtanzania mwenzio anakuvuka na kumsevu forena kwanza , tunanyanyasika katika nchi yetu. Haya!
ReplyDeleteGrill huyu jamaa wakati anasaini mkataba unaona kabisa hana raha. Ni kama vile analia.Hebu mhangalie vizuri. Hapa kilichoko kichwani ni jinsi gani atarudisha hela yake yuko tayari kuwabebesha mzigo wowote hili pesa yake irudi. Mpaka akurupushwe ndio akimbilie yanga? inamaana yanga ni kimbiliao la wanaotafuta hauweni. Mimi nina wasi na mikataba ya presha. ndio maana nafikiria yanga tumeingiliwa. Samahani wapenzi wengine wa yanga inawezekana mkafikiri kuwa atatukomboa au namchukia. yangu macho.
ReplyDelete