Home
Unlabelled
rasmi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Amina naona katoka kiafrica hapo
ReplyDeleteNa huyo aliyezamia picha kati ya Amina na Prashant nin nani? Hebu tuhabarishe...
ReplyDeleteanony wa 6.43, huyo ni mpitanjia tu. usiwe na wasiwasi hatamusogelewa mweshimiwa
ReplyDeletesamahani kwa kutomtambulisha 'aliyezamia' picha. yeye anajulikana kama boy joji ndiye mwandaaji wa miss kinondoni
ReplyDeleteHuyo sister mbona hajamatch, atavaaje suti na nguo ya Kiafrka, hiyo haijatulia m2 wangu. Mambo ya kucchanganya nguo ndo mana
ReplyDeletealitolewa Bungeni, Kama vipi atafute DESIGNER basi awone akina Mwanamboka, Hassanali , Happyness Chilima kwa ushauri wa jinsi ya kuvaa zaidi.
Nakuunga mkono we wa juu yangu! Kwa kweli kama wewe unajua mambo ya kuvaa kwa designing na colours, huyo sijui Chifupa au whoever, ANACHEMSHA SANA! Yaani kama Christmas tree men" Sababu ya cheo tu ndio hata kama ikivaa gunia atasifiwa tu.
ReplyDeleteHivi alichoshika chifupa ni nguo? au ni kimzigo. make mimi simuelewi kabisa. Ndio maana hata anaamua kuvaa kofia hivi hivi.
ReplyDeleteKama nia ilikuwa ni kumechisha na viatu basi asinge jitundika hicho kitambaa badala yake angebeba handbag inayoendana na hivyo viatu!
ReplyDeletemie kiatu chake tu ndio nimekipenda basi hahaahah
ReplyDeletelakini jamani mavazi mtu hachaguliwi,muacheni avae atakavyo yeye! demokrasia jamani au hatuelewi???
ReplyDeleteAnony july 16 4.38 nukta 16, demkrashia shawa lakini ukivaa utombo lazima ushahihishwe na hiyo ndio pia democrashia. shasha hicho kitambaa yeye peleka wapi? Au alikwenda bebea mtoto? make sielewi kabisha kabisha. Hebu nieleweshe jamani!!!!!!!!!!!democrashia
ReplyDeleteKuna vyeo lazima mtu uwe representable bwana allah! Sio kama huyo Migiro sijui alivyokuja huku, hata tunaona haya kuwaambia watu kama huyu ni minister wetu!
ReplyDelete