huyu ndiye miss ilala 2006 lyidia joseph (aliekaa) na mshindi wa pili rehema mhinzi ambaye pia aliukwa ubalozi wa 'daily news' wakati anitha mlay (anaebusu) aliuibuka wa tatu wa nne akiwa veronica mande (shoto) ambae pia alishinda miss photopoint photogenic. watatu wa kwanza wataingia shindano la miss tz taifa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...