kwa mlio ughaibuni tu;hapa ni sehemu gani ya dar?
zawadi itatolewa kwa atakaepatia bai satadei

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2006

    Salender Bridge, Kenyatta Drive, Kinondoni, British Ambassador Res.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2006

    Michuzi hapo utakuwa juu ya ubalozi wa russia. Kenyata drive hiyo kuelekea coco,na hilo ndo jengo wazee wa kazi walipofanya vitu vyao na wakaondoka na hela wakati bank imefunguliwa

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 18, 2006

    MICHUZI
    Nadhani unakera sana unapotumia haya maneno "maiwaifu wake" "bai satadei" "kwaliti" "michuzi junia" n.k
    Mimi ningekuomba utumie blogu yako hii tukufu katika kuikuza na kuitangaza lugha yetu ya kiswahili fasaha,badala ya lugha hii ambayo hata sielewi kwanini unaiendekeza kwa fani yako ya uandishi wa habari na utu uzima wako. Huwezi kujua labda kuna watalii pia wanakutembelea humu.
    Ni wazo tu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2006

    tena wewe ni editor wa gazeti gani sijui? sasa kwa kudhania kwamba taaluma yako ni kwa sababu tuu ya kazi yako na siyo maisha yako yote, unatufanya tuwe na wasiwasi juu ya utimilifu wa taaluma yako

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 19, 2006

    Ahh jibaba anonymous hapo juu inakuwaje mwanangu hebu mwache michuzi ajimwae mwae kidogo...Hii ni shughuli baada ya kazi...au nakosea bwa' michuzi, sasa kama shughuli baada ya kazi bado umevaa suti kubwa na tai si utakuwa dipresdi. maisha yenyewe mafupi haya, Michuzi mtu wa watu na kitaaluma amebobea. Kama wewe unakasirika kusoma maiwaifu basi usisome, hujawekewa bastola. Michuzi, uko talentedi na niuz unaijuia, achana na warombo wenye negativu koments, lete mapicha hayo watu turikol Bongo.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 19, 2006

    Anony hapo juu umeniacha hoi

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 19, 2006

    hao ma anon hapo juu n wakina msaki,mwaipopo na wengineo...Naona wameshaanza madongo yao tayari. Wivu unaua jamani,michuzi ni ngoma kubwa hata mseme nini

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 19, 2006

    Michuzi..Mimi napenda ukitumia hayo maneno..it brings the unique factor kwenye blog yako!!Anony kama hupendi please fungua ya kwako!!Samahani Michuzi..nimesahau English not reachable...aiseee unanifurahisha!!!Endelea kuwakilisha...wenye wivu wajinyonge!!Kwenye kitu kizuri lazma watu watasema...haswa wale wasio weza kukifanya na wasio na kazi za kufanya badala ya kujadili vinavyoonyeshwa kwa maana..wanaleta zao za kuleta!!Kwa nyie mnaochukia...Anzeni sasa mimi ni mwana dada mdogo...na mkini chokoza na akili zenu mbofu mbofu...mtanikoma shuwaaaaaaaaaaiiin!!Michuziii...Endelea kutuelimisha kwa picha wananchi wenzako wa ughaibuni!!
    Mapanga Shaa Shaa...

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 19, 2006

    Mshikaji shuka kwenye ndege ya watu sasa, unazunguka mji mzima. Sasa mbona hujato na Manzese tupaone. Hao washkaji WANAOKUBONDA waambie WACHIMBEZ we endelea kumwaga radhi kaka NAKUFAGILIAAAAAAAAAAAAAAA WATU WEWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE WATU WA WA WA

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 19, 2006

    Watasema na mwisho watalala. Hayo maneno yanafaa sana na yanaendana na picha - endelea Michuzi mwe

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 20, 2006

    Guys i do really enjoy this blog, it is very interesting the way admin (bwana Michuzi) anavyo toa manjonjo yake, kep it up son ... it is good to have something like thich bring serious new in easy way.. we need to loosen up after 9-5 or all those ours of formal language n every thing.........this blog inanikumbusha that time when i was at UDSM FOR MY PHD n i had to learn swahili, i was so happy when my rind posted me the link

    ReplyDelete
  12. Anymous inabidi a-chill kidogo. Hiki ni kiwanja cha Michuzi, sio gazeti la Uhuru. Kwa hiyo Michuzi anaruhusiwa kutanua apendavyo. Kuna blogu kibao mtandaoni na Anynomous anaruhusiwa kuanzisha ya kwake. Eniwei, kama hauna "sensi ya hyuma" acha kumletea Michuzi ndita.

    ReplyDelete
  13. Anymous inabidi a-chill kidogo. Hiki ni kiwanja cha Michuzi, sio gazeti la Uhuru. Kwa hiyo Michuzi anaruhusiwa kutanua apendavyo. Kuna blogu kibao mtandaoni na Anynomous anaruhusiwa kuanzisha ya kwake. Eniwei, kama hauna "sensi ya hyuma" acha kumletea Michuzi ndita.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 20, 2006

    Michuzi baba, patia ile kitu roho nataka...wachana na machili hawa. Lete mai Issa !

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 21, 2006

    Trio kaka,
    Mimi si Jaduong Metty lakini uliposema mambo ya ndege mwarabu, umenikumbusha mbaaaali sana enzi za korido, mabati milingoti na USHI.. au sio mabo hayo??? je wewe ilikuwa miaka gani???

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 21, 2006

    Hey Lonely ppl!
    Kama mnataka kutafuta ma old school mates wenu nandeni www.graduates.com ok!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...