niko na kocha mpya mbrazil maximo (shoto) mwalimun wake wa viungo na mwenyekiti wa baraza la michezo la taifa afande kipingu kocha huyo alipokuja kutambulishwa bungeni dom leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mpira ni uchezaji na tabia(co-operate). Kwa mpira wa kucheza mtu mweusi unajulikana dunia nzima ni number 1. Lakini tabia yetu inajulikana ni..... Mngekuwa kuwa huku Deutchland mkaona aibu walizotuachia waafrica ndio mgenielewa.
    Sasa je huyo mtu ataweza kuchange tabia yetu kwanza au ndio amekuja kula kama myugoslavia wa zamani?
    Anyway ni vizuri kujaribu, na pia kupata sifa bongo tuna coach m`bra.
    Good Kikwete n` the gunsters.

    ReplyDelete
  2. Tanzania imekuwa na wachezaji wazuri sana tu kama nchi zingine za Nigeria,Cameroon, Ivory Coast, Senegal n.k . tatizo letu limekuwa katika uongozi na Makocha , kamwe hatujawahi kuwa na kocha wa maana, wote walikuwa wanababaisha tu hawa wote wakina Msolla, kibadeni, Bendera n.k walikuwa ni wWalimu wa UPE tu si tuangalie makocha wanaozifundisha nchi za wenzetu?

    ReplyDelete
  3. mzee inaelekea una suti nyingi halafu kali kinoma

    ReplyDelete
  4. Na hiyo mentality inayoongelewa na Emergencypoison na jamaa wa Deutchland, inatokana na SHIDA, ndio hiyo hiyo njaa! Wachezaji Bongo wana njaa, wanaishi katika nyumba za kupanga! Eti mchezaji wa mpira ana kazi nyingine ya kuajiriwa pembeni ili aweze kutosheleza mahitaji yake. Hiyo umesikia wapi dunia hii jamani kama sio kwa masikini pekee yake?
    Wenzetu wote wanakuwa wanaown biashara tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...