profesa maliyamkono akiniwekea sahihi yake kwenye kitabu 'the promise' alichokizindua bungeni dom jumapili

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. hicho kitabu hakijaandikwa kwa kidhungu not richabo michuzi au cha kupamba

    ReplyDelete
  2. I hope amekuja na kitabu chenye kutoa muongozo ya nini kifanyike na kutatua tatizo la wabongo wengi walio hoi kama ni sifa JK anazo za kutosha na kama kitabu cha kusifu tuu basi angesubiri baada ya miaka 5 halafu aje hizo sifa za kipi kilichofanyika kumkomboa mtanzania wa hali ya chini kwenye dimbwi la njaa,ukame na pembejeo kwa ajili ya kilimo sasa na sio duni tulichonacho.

    ReplyDelete
  3. bwana ivyo vifupi vinachanganya ukisema jk.yaani kwa sie waliozubaa kwa vifupi hatujui unaimanisha nini zaidi tusipoona picha ya huyo jk unamuongelea. mimi mwenyewe jk

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...