mkongwe wa muziki fresh jumbe aishiye japan akicmhagulia jk cd za kazi zake huko tukuyu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mhhh!! kaka kk unaaza kuharibika mwili sana kama mtu fulani mpaka mguu ukakataa kutembea.

    Kk nakushauri kuna na wakati wa kufanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni,usijiachiee bwaaaaaaa!!

    ReplyDelete
  2. Sasa Michuzi unatuchanganya hapo ni Tukuyu,Mbeya au Tukuyu,Japan?

    ReplyDelete
  3. Huyo msanii-muziki kaficha nini kichwani?

    ReplyDelete
  4. Uzuri wa JK so far pamoja na mengineyo anaonekana ni rais mmoja very approachable sio kama miungu watu wengine katika nafasi kama yake.

    ReplyDelete
  5. Fresh,
    Tarehe 25 tutakuwa wote pale Whats the Dickens, Ebisu.
    Nitakamata taswira tumtumie Michuzi aweke kwenye Blog ;-)
    Endelea kumakinikia fani!

    ReplyDelete
  6. yule dogo wa kikapu, Hasheem alivyovaa kofia watu mlivalia bango, sasa huyo mwenye kilemba kabisa mbona mmekaa kimya? watu bwana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...