Home
Unlabelled
lyatonga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAWA JAMAA WANA KWASHAKOO HAWA ANA UCHUNGU NA TANZANIA WAKITAKA WAANZISHE CIVIL UNION WAKAPIGANE MITI CHECK WALIVYO NA NJAA
ReplyDeleteMrema mbona kakondeana sana ana kisukari nini?
ReplyDeletetwo losses giving each other moral support
ReplyDeleteMatapeli wawili wakipongezana.Mrema alitapeli Wachaga michango akaila.Hamadi yeye katapeli wapemba huku akiwa analipwa pensheni na kuishi kwenye ya serikali ya Zanzibar hadi sasa.Baada ya kuanza kulipwa pensheni Maalimu Seif hasemi ngangari kwa nguvu kama zamani sasa hivi kaachia mchovu mganga-njaa Lipumba ndiye anaitamka ngangari kwa mbali sana na kwa kunong`ona akiwa kajifungia ndani ofisini uchochoroni buguruni.
ReplyDeleteWewe mwita chacha ndio maana unatokea mugumu. hawa ndio wapinzania tanzania wanataka kuangalia kama wanaweza kutuondoa watanzania katika fikra finyu za chama cha kupinduka na kutuelekeza kwenye neema wewe unawaita wachovu mbona wewe hujajaribu? Au unasubiri waivishe wewe urukie.
ReplyDeleteWatu wengine bwana. Wewe si unona jirani zetu kenya walivyokuwa wamewekwa sumaku na siasa za moi? Sasa hivi wenzetu wanapeta angalau wanaona kuwa wanaweza kuendela. Wewe unabakia kufungwa kamba na makamba na chama chake cha kupinduka tu.
Anyway ngoja niache michuzi asije akanifukuza make nasikia siku hizi hile camera yake ya digital ina darubini.
CUF sasa Finish.Lyatonga ni kibaraka wa sisiem kuvuruga upinzani. Inafaa aogopwe kama ukoma!
ReplyDeletesiku moja Tanzania itakuwa na maendeleo na demokrasia ya kweli kama ilivyo nchi nyingine zilizoendelea za kidemokrasia. may be in our life time.
ReplyDeletetukawa na vyama imara kama ccm, vyenye uwezo wa kuunda serikili kama ilivyo ccm.
tukawa na serikali mbadala,(alternative gavumenti) wa chama kingine wawe na uwezo wa kuendesha nchi kwa sera nyingine ,ila yote kwa faida ya mtanzania.
kama wanavyofaidi mataifa mengine,ya kidemokrasia kongwe)
huwezi kuandika historia ya maendeleo ya demokrasia nchini kwetu bila kuwa andika hawa wanasiasa(mrema &seif....nk)
wanahijati kuheshimiwa na kupongezwa.
mungi ibariki tanzania.
jamjuah
masikini weweee mzee wa kilalacha,umechoka kama kale kaugonjwa kamekupitia msee mekuu!!!
ReplyDeleteVing`ang`anizi wawili wagombea uraisi wa maisha wakipeana pole baada ya kushindwa.Kila mmoja hapo ni mkabila wa kutupwa.Wanaendekeza ukabila hawa kupindukia.Mrema anawaza Wachaga Moshi na huyo mwingine anawaza Pemba.Hao wangeshinda vyeo vingekwenda vingi Moshi na Pemba.Tunamshukuru Mungu Kwa kushindwa kwenu tena.Amina.
ReplyDeleteAnony wa juu umechemsha hapo. Mbona Mrema hakushinda na bado vyeo vimeenda Moshi? Moshi ina mawaziri wengi katika hili baraza la JK kuliko sehemu zingine zo zote. Piga mahesabu. Ni uwezo siyo ukabila.
ReplyDeleteUrambo huko Tabora: kapuya, sita na sita (spika).
ReplyDeleteLakini hao akina
Lipumba, Seif na Mrema wataendelea kushindwa mpaka lini?
Ni proof ya bankrupcy, atrophy, and kaleidoscopic collapse of policy issues!
CUF na Labour, tafuteni viongozi wapya tupambe upinzani vizuri. Kwani ni ninyi tu?