hapa ni kituo kilicho karibu na bustani ya mnazi mmoja gaden

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Hey lini unakuja huku. Kwasababu ukija huku uwe mgeni wangu hiyo ni asante yangu tu na mapochochopocho kibao kwa kazi unayoifanya. Picha zako burudani yateu huku. Hizi picha za vituo vya basi hivi vyote nimepanda hapa kwenda shule ndugu yangu. Yaani inanibidi kuforward tu hizi picha kwa wasela tunaotumia subways tu na kusahau tulikotoka. I can't thank you enough.

    ReplyDelete
  2. Weye anony kwanza ni mwanmme au mwanamke? Huko kutaka Michuzi awe mgeni wako ni kheri lakini? Kabla hujaukubali mwaliko huo nakushauli Michuzi ufanye kautafiti kadogo. Just curious :)

    ReplyDelete
  3. Sasa huku ni wapi?

    ReplyDelete
  4. Hahahahahhaa Anonymous kijana unanivunja mbavu,kwa mimi ninaona huyu ANONY ni mwanamke maana mwanaume hawezi kuwa kama yeye kwa kuongea pumba na kutokuwa na time kama ana lipwa!!huyu ni demu wa kinondoni kwa kujishebedua chinichini!!!!

    ReplyDelete
  5. Naona abiria wameanza kuwa wastaarabu sasa kw akupanga foleni. Ule mchezo wa kusukumana na kugombania kupanda basi ulikuwa sio ustaarabu kabisa.
    Safi sana Michuzi.

    ReplyDelete
  6. aliyekuambia watu wapo kwenye foleni nani?michu hebu mpe huyo picha watu wanapokuwa kwenye purukushani ya kuingia kwenye gari,tena mtafutie picha ya abiria wa mbagala ajionee,foleni?foleni bongo?wacha utani wewe hapa kila mtu ana haraka zake,na wengine vibaka sasa wakipanga foleni ikifika zamu yake atayeyushaje au ndo dili limekufa?kwanza ingezuka biashara ya kuuza chance kwenye foleni kama wanavyouza change,au seat kweny gari kuna watu wanaenda mbagala bure daily,yeye akishapigania seat ili akupe wewe mwenye mzigo wa kitambi sharti umlipie na yeye,oohoo bongo hii aya!

    ReplyDelete
  7. WABONGO BWANA WALA HATUTAENDELEA. KWANI KUMWALIKA MICHUZI BASI MPAKA NIWE DEMU AU NIWE NAMTAKA? ACHENI HIZO? ACHENI UCHAWI? WANGA UMEWAZIDI. MICHUZI HONGERA KWA KAZI YAKO NZURI UNAYOFANYA HUKU. KWASABABU HATA NINAVYOKUJAGA TZ SIPATI MUDA WA KWENDA SEHEMU HIZI ZOTE UNAZOTUONYESHA. ASANTE SANA. ACHANA KABISA NA HAWA WANGA TU. KILA PICHA LAZIMA WATOE SABABU AU KUIKASHFU UTAZANIA WAO WANALO LOLOTE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...