wapi hapa vile...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. kwa tunaojua mji hapo ni BP aka brake point au unabisha kaka michuzi

    ReplyDelete
  2. Nikupe mji?

    ReplyDelete
  3. Hapo Break point!, hapo watu wanakula michemsho kama hawana akili nzuri!

    ReplyDelete
  4. BRAKE POINT -KWA WASUGUA UKUTA... WANAUME WAMBEYAAAA eti WAZEE WA UKUTA...yaaani ukiingia hapo BP watakuchambua mpaka umekula nini asubuhi....na ni WANAUME!!! DUH...

    ReplyDelete
  5. yah nakubali hapo brake point mana kwa nyuma kuna gereji hapo yalipo magari mengi

    ReplyDelete
  6. Break point ni wapi sinza, kiburugwa, kigogo au wapi? tuambieni tulio ughaibuni nasi tukirudi tukajivinjali.

    ReplyDelete
  7. woote mmekosea, hapo ni Medellin, colombia kwenye maabara ya miponeo.

    ReplyDelete
  8. Duuuh Michuzi nimekubali,hapo ni Brake Point mara kwa mara huwa naenda kupata Brenda Fassie(samaki mkubwa wa ziwa victoria) kwa ugali wa muhogo mashallah chakula chao safi sana! anony mmoja hapo juu kazungumzia wanaume wambeya pale,mimi ninavyofahamu watu wanaofanya pale kijiwe ni Friends Of Simba je hao ndiyo wanaofanya huo umbeya??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...