jk akiingia kwenye hekalu la jean pierre bemba, kinshasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Naona udenda unamtoka Kikwete.Ana lionea donge hilo jumba.Usithubutu kujaribu kujenga jumba kama hilo Kikwete.Bemba kalijenga kwa dhahabu za wizi.Wewe hata ukitaka kujenga huwezi.Kwanza Bagamoyo walivyo wanga watakuloga hata kabla msingi haujaisha.

    ReplyDelete
  2. hela zipo nakubali lakini class hakuna...marangi gani tena hayo anatuletea kama nyumba za wahindi.....WAKONGO bwana! utawajua tu si mavzi kumbe hadi nyumba zao zimekaa ki-pe-de-je!

    ReplyDelete
  3. Hongera Raisi Kikwete naona Unaingia kwa tahadhari.Du! Jengo limekaa utafikiri jumba la jambazi.Maana yake unavyoliingia kama unaingia kwenye Pango la Mashimo ya Mfalme Suleimani.

    ReplyDelete
  4. Akitoka huko sasa ni kujenga majuba kama hayo kwa hongo za Barrick. Ama kweli siku ya kiama tutakuwa wengi.

    ReplyDelete
  5. kikwete anaingia kwa tahadhari,anachofikiria nikirudi `bongo nitashusha mbili kama hizi wala sitaweka usiku` udenda unamtoka viongozi wa africa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...