Home
Unlabelled
dili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hahahaaaa hawa jamaa ndo kazi yao mchana wanafukia vizuri lakini usiku wanafukua tena. Kazi haiishi!!! Ukienda pia mitaa ya Mbezi Beach walikuwa wanafanya vivyo hivyo
ReplyDeleteTANZANIAAAAA TANZANIAAAAAAA......!!!!
ReplyDeleteJiji lingeboresha njia ndogo ndogo (Feeder roads)kwa kuziwekea lami mfano ni kama zile za K'nyama,M'nyamala,ile itokeayo Msasani Barberque village hadi Tanesco Mikocheni karibu kabisa na ilipopigwa picha hii,Barabara ielekeayo Mbezi beach kuanzia Euro Pub,daraja la mto Mbezi Flats za BOT hadi Oasis club,kutoka Ubungo bus Stand kuelekea External au Mamaland,Mabibo hadi Kigogo,Mburahati hadi Kigogo,Kigogo hadi Kariakoo kupitia Jangwani,Makongo kutokea Lugalo itapunguza Foleni zisizo na kichwa wala miguu... Pia ikiwezekana pale Muhimbili waweke daraja Mbadala kwa ajili ya kuunganisha Kinondoni na Upanga Malick Road. NI MTAZAMO TU... I REMAIN Mpenda Keroro.
ReplyDelete