Home
Unlabelled
graduesheni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Rais Karume atakuwaje mkuu wa chuo wakati hana degree?
ReplyDeleteChuo hicho kimeanza kwa kasi ndogo, hata hivyo inapofikia hatua ya wanafunzi kuhitimu, ni faraja kubwa kwao na kwa taifa kwa ujumla. Ni mategemeo yangu kuwa SMZ itapanua wigo wa Shahada zinazofundishwa katika chuo hicho.
ReplyDeleteAtakuwaje mkuu wa chuo na kutoa shahada wakati yeye mwenyewe hata hiyo shahada hana? Huku ni kudhalilisha taaluma. Wallah nabata ushungu kwelikweli
ReplyDeletekwani mumesahau sisa zetu. Halafu nani kakwambia hana shahada wakati anayo ile ya open University? Si alisomea nyumbani? Acha hizo bwana shahada anayo watu wengine bwana!
ReplyDeleteMimi nawapongeza kuwa na chuo