Home
Unlabelled
kimya kimya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wao! Hapo kushoto jengo la idara ya kemia, kijiwe cha enzi zetu hapo. Bravo michuzi!
ReplyDeleteDah! Mwana umenikumbusha mbali kinoma yani! Hapo kwa juu kuna kajikafeteria ka utawala. Walikuwa wanauza misosi mibovu hela kibao kisa eti wanafunzi wasile wabakie maprof peke yao. Bongo bwana nyumbani lakini uzushi kibao!
ReplyDeleteDah! Mh Umenikumbusha nilikula makande hapo siku moja sijui meneja ni mpare! Any way walikuwa wanasaidia walau mara moja moja tunabadili dayati kwani yale Makafeteria mengine ni uozo mtupu! Hasa Yombo na manzese
ReplyDeleteHivi hilo jengo la kulia ndio lenye 'seat' za ngazi mle ndani? Nakumbuka kama nilifanyia mihadhara kadhaa ya kozi fulani, na kufanyia mitihani pia. Hapo ilikuwa nyomi sana na bado wengine wakasimama! Asante kuleta hizi picha. Udsm mazingira wameyatunza!
ReplyDeleteMlalahoi.