
kuna mdau huko ughaibuni kanitumia hii kuonesha watu walivyokula ngwasuma mkesha wa hepi nyuu yia. kasema zaidi tembelea hapa haki-hakingowi.blogspot.com
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
dada we uliyeko huko ugaibuni kama kazi unayofanya hailipitoa No yako ya simu maana naona umeikalia ajira ya unenguaji waweza kuja kuonyesha kipaji chako kwa malipo ya juu zaidi kkwenye bendi yangu.ukija na patina wako aliyekula msamba malipo yataongezeka.
ReplyDeletedu!si utani mamake naona uko na msela wangu john unayarudi magoma,J. unanikumbusha enzizile tulipokuwa tunacheza ulewimbo wa awilo"chunguze nyani kaona map..mbu!x3 shika kikoko cheza sukuma shika kikoko eee kupekupe vibamba!bili mama bilie ee mamaiyee!bolingo mamaee eemamaiyee..bili!!bilima!!!!!!!!!
ReplyDelete