Kaka Michuzi tunaomba utubandikie hii.
YAH: HALI YA MAISHA YA WANAFUNZI TUNAODHAMINIWA NA SERIKALI YA TANZANIA CHUO KIKUU LUMUMBA-MOSCOW.
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu. Sisi wanafunzi Watanzania tunaosoma katika chuo kikuu cha Urafiki Lumumba-Moscow chini ya udhamini wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia mwaka wa masomo 2005/2006 tupo katika hali ngumu sana kimaisha kutokana na hatua ya Serikali yetu kutotujali/kutukandamiza kwa kutupatia kiasi kidogo sana cha fedha ambacho ni Dola za Kimarekani 200 tu kwa mwezi ambapo katika kiasi hicho hicho tunalazimika kukidhi gharama za Malazi, Chakula, Usafiri, Stationary, kujinunulia madawa pale tunapougua pamoja na kufanya vipimo vikubwa ambavyo kiasi cha fedha za bima ya afya kinacholipwa chuoni hakihusiki. Wakati wowote tutafukuzwa mabwenini kutokana na kutolipia fedha za Malazi.
Kutokana na hali ngumu ya maisha na kutokana na mabadiliko ya mara kwa mara ya bei za bidhaa na chakula hapa Moscow, vile vile pamoja na kupungua kwa thamani ya Dola ya Marekani dhidi ya Rubble ya Urusi Tuliiomba Serikali yetu ituongeze kiasi cha fedha ili tuweze kukabiliana na hali halisi ya maisha ya hapa Moscow maombi ambayo yalitupiliwa mbali na Serikali.
Pia ili kuboresha ufanisi wetu wa kitaaluma, tuliiomba Serikali izingatie kutupatia pesa kwa ajili ya vifaa vya masomo (Stationeries and Book Allowances) na mafunzo kwa vitendo (Field work allowance) angalau kiasi cha Dola 600 kwa mwaka. Pia maombi hayo yalipuuzwa na Serikali. Wanafunzi wenzetu waliopo kwenye vyuo vya nyumbani na nchi nyingine hupatiwa sisi hatupewi.
Hali ilivyo hivi sasa, Serikali inatupatia kiasi cha Dola 200 na miongoni mwa wanafunzi 65 tuliokuja, wanafunzi 45 walio chini wa Serikali ya Tanzania tunapaswa kujilipia gharama za malazi (Accomodations) kiasi cha Dola 550 kwa mwaka ilhali wanafunzi wenzetu 20 walio chini ya udhamini wa Serikali ya Urusi hawalipii.
Kutokana na barua (tutatuma zikihitajika) kutoka Ubalozi wa Tanzania Moscow (Kumb. TZM/E.154 ya Tarehe 19/06/2006 na 27/06/2006) zinazotafsiri majibu ya barua zetu kutoka Wizarani, tuliagizwa kujaza Fomu za Mikopo kwa ajili ya mwaka wa masomo 2006/07 na kuainisha matatizo yetu kitu ambacho tulikitekeleza na fomu zetu kupelekwa ubalozini zikiambatana na barua rasmi ya maelezo kwenda Bodi ya Mikopo nchini juu ya maombi yetu ya mikopo kutoka Uongozi wa wanafunzi kupitia Ubalozi.
Mpaka sasa bado hatujapata majibu yanayoridhisha kuhusiana na maombi yetu tuliyoambatanisha katika Fomu za mikopo kwa 2006/2007. Vile vile juu ya malalamiko yetu yaliyowasilishwa Wizarani na Wizara kujibu kupitia Ubalozi.
Kutokana na matatizo yaliyoorodheshwa hapo juu, sisi wanafunzi tunapata shaka na mustakabali wa maisha yetu pamoja na maendeleo yetu ya kitaaluma yanayozidi kushuka siku hadi siku. Tumejaribu kuwasilisha matatizo yetu katika Wizara ya Sayansi na Teknolojia kupitia Ubalozi wa Tanzania-Moscow bila mafanikio yoyote.Tunawaomba wale wote wenye mapenzi mema kwa Binadamu msikie kilio chetu na mtusaidie kufikisha ujumbe kwa wanaohusika kwani hatuna pa kulala kutokana na ukweli kuwa chuo kinataka kutufukuza kwa sababu hatujalipia gharama za Hostel vile vile tunateketea na njaa, pamoja na maisha magumu huku ugenini.
Tunaomba Mashirika ya Habari, pamoja na vyombo vya kutetea Haki za Binaadamu kote Duniani mtambue wazi kuwa tumekatishwa tamaa na Serikali yetu ya TANZANIA na zaidi tunahimiza kurudishwa nyambani kuliko kuendelea na mateso haya kwenye nchi ya Ugenini. Kwani ni Bora afadhali kuliko potelea mbali.
MWALIMU J.K NYERERE SERIKALI INATEKETEZA TAIFA LA KESHO!
Kama siyo Juhudi zako Kikwete angesoma vipi? alishawahi kulazwa nje kwa kutolipia fedha za Malazi? Sisi mbona tumetupwa?
(RAIS KIKWETE; ARI MPYA, KASI MPYA NA NGUVU MPYA MBONA HATUIONI? AU IPO KWENYE MASLAHI YA WACHACHE TU?)
Wanafunzi Watanzania
Chuo kikuu Lumumba, Moscow, Russia
Monday, January 01 2007
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu. Sisi wanafunzi Watanzania tunaosoma katika chuo kikuu cha Urafiki Lumumba-Moscow chini ya udhamini wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia mwaka wa masomo 2005/2006 tupo katika hali ngumu sana kimaisha kutokana na hatua ya Serikali yetu kutotujali/kutukandamiza kwa kutupatia kiasi kidogo sana cha fedha ambacho ni Dola za Kimarekani 200 tu kwa mwezi ambapo katika kiasi hicho hicho tunalazimika kukidhi gharama za Malazi, Chakula, Usafiri, Stationary, kujinunulia madawa pale tunapougua pamoja na kufanya vipimo vikubwa ambavyo kiasi cha fedha za bima ya afya kinacholipwa chuoni hakihusiki. Wakati wowote tutafukuzwa mabwenini kutokana na kutolipia fedha za Malazi.
Kutokana na hali ngumu ya maisha na kutokana na mabadiliko ya mara kwa mara ya bei za bidhaa na chakula hapa Moscow, vile vile pamoja na kupungua kwa thamani ya Dola ya Marekani dhidi ya Rubble ya Urusi Tuliiomba Serikali yetu ituongeze kiasi cha fedha ili tuweze kukabiliana na hali halisi ya maisha ya hapa Moscow maombi ambayo yalitupiliwa mbali na Serikali.
Pia ili kuboresha ufanisi wetu wa kitaaluma, tuliiomba Serikali izingatie kutupatia pesa kwa ajili ya vifaa vya masomo (Stationeries and Book Allowances) na mafunzo kwa vitendo (Field work allowance) angalau kiasi cha Dola 600 kwa mwaka. Pia maombi hayo yalipuuzwa na Serikali. Wanafunzi wenzetu waliopo kwenye vyuo vya nyumbani na nchi nyingine hupatiwa sisi hatupewi.
Hali ilivyo hivi sasa, Serikali inatupatia kiasi cha Dola 200 na miongoni mwa wanafunzi 65 tuliokuja, wanafunzi 45 walio chini wa Serikali ya Tanzania tunapaswa kujilipia gharama za malazi (Accomodations) kiasi cha Dola 550 kwa mwaka ilhali wanafunzi wenzetu 20 walio chini ya udhamini wa Serikali ya Urusi hawalipii.
Kutokana na barua (tutatuma zikihitajika) kutoka Ubalozi wa Tanzania Moscow (Kumb. TZM/E.154 ya Tarehe 19/06/2006 na 27/06/2006) zinazotafsiri majibu ya barua zetu kutoka Wizarani, tuliagizwa kujaza Fomu za Mikopo kwa ajili ya mwaka wa masomo 2006/07 na kuainisha matatizo yetu kitu ambacho tulikitekeleza na fomu zetu kupelekwa ubalozini zikiambatana na barua rasmi ya maelezo kwenda Bodi ya Mikopo nchini juu ya maombi yetu ya mikopo kutoka Uongozi wa wanafunzi kupitia Ubalozi.
Mpaka sasa bado hatujapata majibu yanayoridhisha kuhusiana na maombi yetu tuliyoambatanisha katika Fomu za mikopo kwa 2006/2007. Vile vile juu ya malalamiko yetu yaliyowasilishwa Wizarani na Wizara kujibu kupitia Ubalozi.
Kutokana na matatizo yaliyoorodheshwa hapo juu, sisi wanafunzi tunapata shaka na mustakabali wa maisha yetu pamoja na maendeleo yetu ya kitaaluma yanayozidi kushuka siku hadi siku. Tumejaribu kuwasilisha matatizo yetu katika Wizara ya Sayansi na Teknolojia kupitia Ubalozi wa Tanzania-Moscow bila mafanikio yoyote.Tunawaomba wale wote wenye mapenzi mema kwa Binadamu msikie kilio chetu na mtusaidie kufikisha ujumbe kwa wanaohusika kwani hatuna pa kulala kutokana na ukweli kuwa chuo kinataka kutufukuza kwa sababu hatujalipia gharama za Hostel vile vile tunateketea na njaa, pamoja na maisha magumu huku ugenini.
Tunaomba Mashirika ya Habari, pamoja na vyombo vya kutetea Haki za Binaadamu kote Duniani mtambue wazi kuwa tumekatishwa tamaa na Serikali yetu ya TANZANIA na zaidi tunahimiza kurudishwa nyambani kuliko kuendelea na mateso haya kwenye nchi ya Ugenini. Kwani ni Bora afadhali kuliko potelea mbali.
MWALIMU J.K NYERERE SERIKALI INATEKETEZA TAIFA LA KESHO!
Kama siyo Juhudi zako Kikwete angesoma vipi? alishawahi kulazwa nje kwa kutolipia fedha za Malazi? Sisi mbona tumetupwa?
(RAIS KIKWETE; ARI MPYA, KASI MPYA NA NGUVU MPYA MBONA HATUIONI? AU IPO KWENYE MASLAHI YA WACHACHE TU?)
Wanafunzi Watanzania
Chuo kikuu Lumumba, Moscow, Russia
Monday, January 01 2007
Jamani nyie mmeshakuwa wakumbwa sasa siyo kila kitu kw akuwa mmekuwa sponsored basi muachie serikali,wewe wengine huku tumekuwa sponsored lakini tunachacharika sana.
ReplyDeleteKwa nini na nyie msibebe mabox mpate hela ya malazi na kila kitu kama wengine kuliko kulalamikka kama watoto wadogo?
Vijana mmefika mbali sana ni juu yenu sasa nyie kuangalia mbele nini cha kufanya badala ya kuitegemea serikali katika hali yote.
Ila poleni ndiyo ukubwa huoo na ninafikiri ndiyo kwanza wageni kwa hiyo mnaona kila kitu miguu juu kichwa chini kwani nyumbani Tanzania watu hawajue nini maana ya maisha muda mwingi wa kuchezea.
Mambo taratibu Guys,mambo mazuri hayataki haraka kabisa fungeni mikanda ni aibu kulia kaka watotot wadogo.
Nakubaliana na gegedu. Hata hivyo, namna hawa wasomi watarajiwa walivyomalizia barua yao kwa shutuma kali dhidi ya serikali ya kikwete, na kwa kuishitaki serikali ya kikwete kwa marehemu baba wa taifa ,mwalimu nyerere, inaonyesha wazi hawa wanafunizi hawana busara, maombi yao yapo too emotional to be taken seriously,na hawajui hata namna ya kutoa ushawishi wa kuunda hoja zao.
ReplyDeletePili, hawa wanafunzi wanatakiwa kujua kuwa japo ultimately taifa litafaidika na elimu zao, elimu wanayoitafuta ni kwa faida yao pia.Mtafuta cha uvunguni sharti ainame.Kaza buti vijana someni kwa bidii.Shida mlizoonyesha siyo nzito kiasi cha kufikiria kuacha masomo. Kuna watu sehemu mbalimabali duniani wanasoma kwa shida kubwa kuliko mlizozitaja hapo juu.
Tatu, inaonekana ninyi wanafunzi wa moscow ni miongoni mwa watu wenye illusions tanzania kwamba ukipata nafasi ya kwenda kusoma nje ya nchi, basi umewini kimasomo na kimaisha. Lakini hali mnayokabioliana nayo ndo shida za watu wote. Fuateni ushauri wa gegedu.
Waambie Kaka ANONY na wewe maana wanachekesha sana hawa watu,wamezoee kutengewa juu ya meza sasa wamefika huko hakuna wanaona kama wapo motoni vile.
ReplyDeleteHafalu ukifika huko kuangalia hao watu wanasema wanalia shida kama walivyoandika hapo juu Utakuta wana Mademu wa nguvu,Pombe kwa wingi,na vitu vingine vya anasa kwa kuwa wamezoee kupewa kila kitu home basi wanasubiri tuuu.
Endeleeni Kusubiri Mpaka Jumapili,mlipopanda pipa si mlijue mmetoka adidhieni wengine wanaotaka kuja huku mambo yalivyo siyo kukaa Bongo tuuu nitumie dollar,nitumie pounds.
Changamkeni vijana siyo mpka kocha awafundishi jinsi ya kufunga Goal huo ni ujuzi wako.
Hivi walikaa wote chini wakajadiliana jinsi ya kuandika hii barua? I doubt!!!! Maisha ni magumu kila mahali na ukipelekwa kusoma na nchi ambayo uchumi wake ni mdogo usitegemee utaishi kama mwanafunzi anayesomeshwa na nchi ambayo uchumi wake ni mkubwa. Shukuru Mungu umepata bahati ya hiyo ticket ya ndege na umeshaingia shule the rest ni akili yako. Chacharika mdogo wangu kabebe mabox au keep good grades hao warusi wakuone wakuongezee kascholaship umalize degree yako. Ndio alivyofanyaga my cousin na sasa anajisomesha wenyewe degree ya pili. Sasa ukisubiri serikali ikutafunie mdomoni wewe umeze utachanganyikiwa na mwisho kuanza kunywa hizo pombe za warusi. Goodluck
ReplyDeleteNyie wote wawili hapo juu hamna point kabisa. Hasa wewe Gegedu. Toka lini ukafanya kazi Russia ukapata hela ya kukufanya uishi Moscow? Russia sio U.K., wala sio U.S. Moscow imejaa mafia wanaotaka ku-make super profit. Nani ataajiri mwanafunzi mgeni toka Africa amlipe hela wakati wao wenyewe wanatafuta hela? Pia wafanyakazi wa embassy wana tabia chafu sana. Zikija hela za wanafunzi, wanazitumia kwa biashara zao wenyewe, alafu hela zikishazalisha faida, ndio wanawapa wanafunzi, napo kama watawapa hela yote. Watu kibao ninawajua kwa majina walikuwa Moscow walikimbilia U.K. kwa sababu ya ugumu wa maisha. Kwa hiyo wanachokisema wanafunzi wa Moscow ni sawa kabisa. Russia sio U.K. au U.S.
ReplyDeleteI beg to differ with GEGEDU and Anony of 3:04:07. The thing is u guys tend to take things for granted, I am completely baffled by the 'kubeba mabox'advice. kubeba mabox ya nani? hivi kila nchi ina ajira kama hizo? mbona kuna wengi ughaibuni wanahangaika kupata nafasi hata ya kufagia choo hawaipati. Inategemeana uko wapi, wewe ni nani upo na nani na unafanya nini.kwa waliopo Norway kwa mfano kazi kubwa ni kusambaza magazeti tena kazi hiyo inapatikana sana mji mkuu wa Oslo, kama upo miji mingine mtu unategemea stipend tu. Kuna Nchi nyigine za ughaibuni hawaruhusu wanafunzi kufanya part-time jobs for your information. kwanza kwenye nchi nyingine HAKUNA HATA HIZO KAZI. Sasa kama serikali iliridhia wanafunzi wake kwenda Urusi kwa nini isitoe fedha kulingana na mahitaji? Labda cha maana ni kuwashauri approach nzuri ya kuzidai fwedha toka serikalini na siyo vinginevyo. HAPPY NEW YEAR TO YOU ALL.
ReplyDeleteUrusi jamani sio kama U.S au U.K Warusi kibao hawana ajira,ili uwe na nafasi kubwa ya kuajiriwa hata kubebe box lazima ujue lugha yao other tha that my friend you have a very slim chance of geting even a damn job for unskilled person.
ReplyDeleteI went to school in Russia for a while. Moscow is among (if not) the most expensive cities in the world, true. It is also difficult, thou now impossible, for students to work while going to school and times can be desperate for some. However, Tanzania’s government is not to take entire blame for all difficulties that the students face because they already have a fair-share of assistance from the government. The students are obligated to find other ways to make ends meet. Simply, the government cannot cater for all the needs of all its peoples. Even today many in Tanzania are still without access to basics like running water, power, health care, transportation and so on. They could also write a letter like this and give reasons why they need support too, right?
ReplyDeleteNIMEONA WACHANGIAJI WENGI HAPO JUU, WANAONESHA KUELEWA HALI HALISI YA TANZANIA. WANAFUNZI HAO, KAMA KWELI NI MAWAZO YAO WOTE, WAMEKOSA NAMNA NZURI YA KULIELEZEA TATIZO, HIYO MOSI. PILI, FAMILIA ZAO ZINAWAJIBIKA PIA KUCHANGIA HIYO ELIMU YAO. NI WATANZANIA WANGAPI WANAHITAJI HUDUMA NYINGI TU TZ, NA HAWAJAZIPATA? NA NYIE KAMA WASOMI MNACHANGIA VIPI KUZUNGUMZIA MATATIZO YA HAO WATANZANIA, AMBAO HAWANA HATA ELIMU? HAPO NDIO UTAKUTA HAKUNA MTANZANIA WA TABAKA LA CHINI ATAKAYEWASIKILIZA NYIE, MAANA INAONEKANA MNAPOKONYANA KEKI NA VIONGOZI WACHACHE WA SERIKALI, WALIOPEWA DHAMANA TZ. NA HAWA WA CHINI HAWAONI UMUHIMU, MAANA HIYO ELIMU INAONEKANA KUTUMIKA KWAAJILI YENU ZAIDI, KULIKO MANUFAA YA WAO. HALAFU, KAMA MNASOMESHWA KWA KODI ZETU, LAZIMA MNAPOOMBA HIZO HELA, MUWE WAPOLE, NA SI KULAZIMISHA. KWANI, KAMA MIMI HAPA SIFAIDI HATA SENTI YA SERIKALI, NA NAJISOMESHA, NA TZ MNAYOILAUMU NI YANGU PIA. JE, MTANIAMBIA NYIE MUHIMU ZAIDI KULIKO MIMI?
ReplyDeleteMKO 'TOO EMOTIONAL', MSOMI HAWEZI KUSEMA EMBASSY PEOPLE WANATUMIA HELA ZENU KUTENGENEZA FAIDA NDIPO WAWAPE. MNA USHAHIDI? KAMA MNAHISI TU, BASI MNGESMA WANACHELEWESHE, KULIKO TUHUMA AMBAZO HAMNA USHAHIDI NAZO.
GUYZ, BE POLITE, CALM, COMPOSED, AND MORE EDUCATED...
Mlalahoi.
Sielewi nyinyi waandishi wa awali hapo juu wanazungumza nini hasa.
ReplyDeleteSiwaelewi kwasababu manaonekana kuwa na ufahamu mdogo yanakotoka malalamiko hayo....na sioni mantiki ya kuandika upuuzi mlioandika.
Don't assume watu hao wanataka hela za kustarehe.Don't just blame because ulipitia shida kipindi fulani.Mazingira ya Moscow huyaelewi....haki ya kuandika unachotaka kuandika kutoka Uk ama US unaitoa wapi.Unaongea from your own perspective...na hilo ni tatizo.Ni mazingira mawili tofauti.
Pata habari ya kutosha kwanza kabla hujachangia habari na kuonekana 'stupid'.Watu hawa wana shida ingawa wanatoka katika nchi fukara duniani.Wanajua Serikali haiwezi ikawapa hela itakayowafanya waishi 'peponi'.Serikali imetoa ahadi...haina budi kutekeleza.Kwanini isiwape mikopo kama wanafunzi wengine waliopo Tz wanapewa?
Kuna ubaya gani kwenye hitimisho lao?Kwani si kweli kama siyo JK wa kweli(achana na huyu fake)Kiwete asingefika hapo ulipo leo?Si ametoka kwenye familia fukara kabisa ambayo isingemudu kumlipia ada kama hii ambayo wanafunzi hawa wanaiomba kwake???
Ni kweli...hiyo ari mpya whatever ni upuuzi mtupu wa mdomoni.Kwani tangu ashike madaraka hayo amewaajibisha watu wangapi ambao wanajulikana wazi wamevurunda zaidi ya kuongea tuuu?Tangu atembelee Muhimbili mbona bado wagonjwa walala chini mpaka leo,licha ya kuwaambia'hakukosea kumchagua'???Huu ni unafiki gani hasa???
Kwahiyo nyinyi mlitaka nini....wamlambe miguu Kikwete???wam beg???Hakuna wakati wa kubembelezana hapa...huu ni wakati wa kujali matatizo ya watu na kutafutia ufumbuzi haraka.Ni wakati wa uwajibikaji.Hivi mnajua watu hawa wamekuwa wavumilivu kwa muda gani???Can't u see wamechoka???Hawapati jibu lolote la maana...si mnajua viongozi wetu...they take things so easy.....they don't care!Can't u see guys they talk from their hearts...siwalaumu kwa kuwa so emotional....suluba wanayoipitia wanaijua wao.
Na huyu mtu anaesoma amesoma Russia,hata simwelewi anachozungumza!Unawapa ushauri gani wenzako??How did u go through it???Uzoefu gani ambao una share na wenzako?Tunajua already maisha ya Urusi ni magumu...hatutaki kusikia hilo....Wafanye nini waweze kujinusuru na balaa hili????
Mwanafunzi wa Urusi usilaumu serikali tu laumu na ukoo wako mzima.Hivi inakuweje ukoo mzima hakuna mtu mwenye uwezo wa kuKUsaidia.Ina maana wote wachovu miaka yote.Mchango wao ni nini?Inabidi utafute kikao uwatandike viboko wote.Serikali si baba yako wala mama inakupa angalao Dola 200. Ndugu zako na ukoo wako wanachangia ngapi,ukoo wako wanachangia ngapi? Kama wote wachovu ni maana ukoo wako ni wa watu wavivu sasa.Hasira za umaskini za ukoo wako zinazotokana na uvivu wao usisukumie serikali Ok.Serikali inachangia inachoweza kama hutaki useme sitaki urudi usimtishe mtu eti.Rudi hata sasa ukitaka!!!
ReplyDeleteKwanza kwa wasioijua Urusi,hii ndo nchi inayoongoza kwa ubaguzi dhidi ya watu weusi wakifuatiwa na wenzao wa nchi za ulaya mashariki ,sasa watu hawa watakupa kweli hata kazi ya kubeba maboksi,wao wenyewe njaa tupu,wanaikimbia nchi yao hakuna kazi ,sasa wewe Gegedu kabla ya ku comment jaribu kuchunguza suala lenyewe,usikurupuke tu,wewe ni mtu mzima sasa.Kama serikali imeamua kuwapeleka huko wanafunzi lazima ibebe jukumu zima kufuatana na hali ya maisha ya huko.
ReplyDeleteUshauri wangu tokeni kuko,kabla hao washenzi warussia hawajawatoa roho.
Serikali siku hizi haisomeshi watu inachofanya ni kuwasaidia kiasi fulani wale wanaosoma.Nadhani mwandishi ni mbumbumbu haelewi kwa nini anapewa hiyo posho au mikopo.Zamani serikali ndiyo ilikuwa inasomesha sababu ilikuwa inataka kuwaajiri wanaomaliza hiyo shule au vyuo ambapo ukimaliza unafuatwa unachukuliwa toka huko chuoni na kuajiriwa.Sasa hivi serikali ikitaka wafanyakazi haiendi vyuoni Inachukua sokoni (labour market) .Ikihitaji wafanyakazi inaenda kwenye soko (labour market) wanatangaza magazetini wanapata.Haiendi vyuoni tena kama zamani.Sasa hivi inakupa posho au mikopo kukusaidia usome na uwe huru kwenda kokote kama ni serikalini,sekta binafsi au kujiajiri.Serikali inakusaidia tu kukujengea sehemu ya uwezo wako wa kusoma,kujitegemea na kufikia ile hatima (potential) yako.Haikujengei uwezo wote.Mwandishi usiwe na mawazo ya Zamani kuwa serikali inakusomesha sababu inajikomba kwako ili ukirudi ikuajiri.Shukuru kwa unachopata.Na hata ukiwa huridhiki na upatacho kwanza shukuru kwa walichokupa na uombe kingine kwa ustaarabu wa hali ya juu si kwa lugha kama hii uliyoitumia.Lugha za aina hii ni za watu ambao hawajaenda shule kabisa au ambao huwa wanakimbilia chooni mwalimu akianza kufundisha kipindi.
ReplyDeletekoloboi@yahoo.com
nadhani tatizo liko mwa wizara ya sayansi wakati inatoa nafasi za masomo huwa haizangatii watu gani wanaweza kumudu gharama hizo kwa kuwaelewesha ukweli mambo.miaka miwili iliyopit nilimuokoa mwanafunzi mmoja liyetaka kwenda kusoma poland akidhani kuwa anapewa scholarship.maisha katika nchi hizo ni magumu tena sana.hata hivyo hicho kiwango kinachotolewa na serikali kinawezesha mwanafunzi kuishi,iwapo atakubali kuishi aina fulani ya maisha.haya madai mliyoyaandika ndugu zangu yaangalieni vizuri,yana kasoro nyingi.mfano:mnaomba pesa za field work.urusi field work gani hiyo mnayoizungumzia.hapa mmetumia mwanya kwamba wanafunzi wa tanzania huwa wanapewa pesa za field work basi mkaona muweke.maisha ni magumu,nakubaliana na nyinyi,poleni na endeleeni kujitahidi kuomba msaada kwa nyia mbalimbali pamoja na kwa serikali,ila ninachowaomba ni kwamba msiwe hysterical.msifange kuwa mko katika hali ngumu kuliko wakazi wa mlangali iringa.
ReplyDeletemlalahoii2.
ReplyDeletendugu zanguni mnaowaponda wanafunzihao inaonekana kweli ugonjwa usikie kwa mwenzio usiombe ukufike!anonymous mmoja anaulaumu ukoo wa wanafunzi kwakuwa maskini,hebu atafakari alichoandika kisha kama huo ndio upeo wake basi pole mpeni!maana hata anachokifanya hakijui!!
wanayosema vijana nikwelitupu maana wengine tumesoma huko russia,tumeponea kuuwawa,na kila mwaka tulikuwatukipoteza wanafunzi kwa kuuwawa,hata namkumbuka mwenzangu mmoja aliyekuwa tumalize naye aliuwawa mwezi mmoja kabla ya kumaliza,na mwingine alichomwa kisu akichukuwa tax ilikwenda airport amemalizashule anarudi nyumbani!!
lakini kila watu waliokuwa nje ya russia walipoyasikia hayo,walilaumu wakisema eti hao huwa wakoclub,wanagombea wasichana,walilewa natuhuma nyinginezo ambazo hazikuwa kweli,tuliokuwepo tunafahamu hilo,na sasa tunashukuru japo tumepumua tuko home tukohuru!
sasa mnaoshauri wajitume kubeba mabox nawashangaa kwakuwa urusi mnaisikia kwenye bomba tu,unajua kitu kinachoitwa skin hate(skin heades)?? ulishaona mwenziokachinjwa bilakosa akiendashule?ulisha ona mwenzio kachomwavisu akitoka dukani au akiwa ndani ya metro?ulisha wahi kuletewa jeneza la nduguyako toka urusi? najua hujawahi kwa hivyo kaa utulie kama huna chakuandika!!
sawa wadogozangu najua mna machungu mnavyopata taabu,najua serikali italiona hili japo inajitahidi kufumba macho kwakuwa wengi wa watotowao wako nchiwanazobeba mabox wanatuma dollar na pound home kwa wadogozao ndiomaana mnalinganishwa nao nakufanywa mabwege kanakwamba nyie msingependa kurudi home mkiwa na elimu na dollar au pound(kule urusi rubble).
nimeamini poor information nihatari kuliko kutokuwa na habari kabisa!!
nanyie wahusika waserikalini wasaidieni vijana,msilinganishe vipato vyenu hapa nyumbani na hiyo dollar200.maisha ya urusi hasa moscow is not ajoke!hapa kuna michicha kariakoo na matunda ya burebure!kule utamaliza shule hujawahi kuigusa mboga yakijani maana inaliwa na maoligaki tu!
pia kumbukeni wakilazwa nje baridi itawaua,kulavizuri urusi nilazima,maana haliyahewa inakulazimu,na usipofanyahivyo madhara yake utapata sio leo ila baada ya miaka ijayo!naijua baridi ya urusi (-30)C wanahitaji makoti yabaridi ambayo ni zaidi yahiyo $200beiyake.kama wazazi wao niwakulima kama wakwangu najua chamoto wanakiona,wasaidieni!tumekaa 9yrs bila kuja nyumbani sio kuwahatukutaka,haikuwezekana,ilikuwa nijela,ndiomaana najisikia sasa niko huru hapa home! polenisana vijana mungu atawajibia kilio chenu japo hata kwa kiasi!
Ni kweli Serikali sasa hivi sio lazima isomeshe watu tena. Public education iishie form form four tu. Kwa vile tuko wengi ambao hatukusubiri serikali itusomeshe na tunaweza kufanya kazi hizo ambazo wamepelekwa kusomea. Serikali inahitajika kutumia hela hiyo kupeleka maji vijijini. Sasa sijui kwa nini nyie mnabahatika kusomeshwa na bado mnalia. Kama mambo magumu rudini nyumbani. Wanasema you always make your own lucky. Serikali ikitoa kidogo na wewe na ukoo wenu toeni kidogo. Ni wangapi wanahitaji hicho kidogo tu cha kuanzia lakini hawajapata. Kwanza nyie mnaokuja na hizo scholaship za serikali wengi wenu ni ndio wale watoto wa wakubwa tu baba zenu wanafanya kazi kuko serikalini. Scholaship zikija wizarani wao wanaishia kuzitumia kwa watoto wao wala wengine hata hatuzisikii kabisa. Hii barua inaonyesha kuwa hata mkimaliza shule hamtakua na mchango wowote kwa vile hamna busara. Kwanza inaelekea hamjui shida. Manake mimi nakwambia watoto wa vizito. Wengi wakifika nje wakiona hamna hamna mtu wakumpikia au kumwoshea viombo, gari hana acha yule dereva waliekua wanamdharau hakuna ile life style aliyoizoea. Baba akituma hela ya madafu wakiletewa huku wakiibadilisha kwenda kwenye pounds hata haiendi kokote. Wengi wao wanaishia kurudi nyumbani, wengine ndio hao wanaishia jela na mliobaki ndio nyie mnalia lia tu kama watoto. Mlizoea easy way this is real life. Huku life ni parallel. Mwambie ndugu yako huyo aliyokuhook kwenye hiyo misheni akusaidie tena. Tunaelewa nchi ni ngumu hiyo ya Urusi lakini sio nyie wa kwanza kwenda huko kusoma na kama ni shida sio ulie huku kwenye blog ya michuzi. Kunasehemu muhimu zza kuwakilisha malalamiko yako na use good manner when you write to people who are still supporting you. If your mama didn't teach you this we will.
ReplyDeletenakubaliana na wanaotambua shida wanayopata vijana,japo mnawalaumu kuwa wako too emotinal,lakini kumbukeni kuwa the hungry man is the angry one!ukiwa nanjaa na hunajinsi,unajuwa kuwa pia mtaani unaweza kufanywa kitoweo at any time t!na ukitambua wazi kuwa hakuna ndugu wala mzaziwako mwenye uwezo wakukutumia walau chakuongezea uishi,na at thesametime mazingira unayoishi hayaangalii kuwa wewe umetoka nchi tajiri au maskini,yaani duka unalonunua wewe ndilo hilohilo anamo nunua aliyetoka nchitajiri na hakuna kubargain bei-haki anani hatamtu akushauri kutulia sidhanikama unaweza!maana unajihisi ulishakufa unachosubiri ni kuzikwa tu!!
ReplyDeletekwanza nasikia urusi kuna stress chungunzima!!
-walimu wanakubana kuingia darasani kama primary vile!
-kirusi chenyewe naskia si mchezo,kamahapa wanachuo kiingereza wamesoma tangu shule ya msingi lakini kuonge nitaabu,hatawengine hufeli kwa hilo tu,je hawa wanaoikuta lughampya na kujifunza kisha wasome kwakirusi.
-skin hates wanawachomoa roho madenti kila mwaka yaani kifo ni zero-distance anywhere at anytime t!
-haliyahewa naskia nibaridi kinoma,barafu wakati wa winter hadi magotini!
-NJAA KALI kwa wale wanaotegemea serikali IWATUMIE STIPEND!hata ikiwatumia nikidogo tena kwa mbinde DU!
AMA KWELI KAMA HIYO NDIO URUSI wanaomaliza huko wanapaswa kupongezwa!yaani naona kamavile nibora uwe segerea kisha usome open university kulikoni ukaipate hiyo mijitaabu yote huko ughaibuni!
nilikuwa na rafikiyangu aliendahuko japoyeye alikuwa mtoto wakizito lakini alikulakona kwenda finland,nikiwasiliana naye anasema bora umpeleke keko au segerea kulikoni umrudishe urusi!maana segerea yuko salama analindwa!
kwahiyo tusiwalaumu vijana, chamsingi nikuwasaidia wamalize waje home!na mnaotaka kwenda huko kazi kwenu!hakikisheni kuwa babazenu ni wale wenyenazo msije mkafika huko mkakosa jinsi michozi ikawatoka mkawamnapigwa mijembe kama wanayopigwa hawa kakazenu!
eti nyie madenti hivi na mademu pia wapo au mkomidumetupu?maana maana kama nakinadadapia wapo sipatipicha!!isijegeuka wakawa machangu1anyway kama kuna ubaguzi wa colour sidhani kama hiyokitu wanawezafanya!poleni wagosi wa ndima!!
bwana wee mi sijui nini wala nini na wala sijasoma huo waraka woote manake unanitia hasira tuu. kweli watu wengine hawana shukrani haswa ukilinganisha na sisi ambao hatukupata baraka hiyo ya kulipiwa ada na some other allowances za kuwa ughaibuni... twajipinda wenyewe na tunapiga buti tuu.
ReplyDeleteKwanza hao vijana wangepaswa kufanya utafiti kamili juu ya maisha ya huko umafiani - ili kujua hiyo hela sirikali iliyowapa itakidhi maisha ua?? na kama siyo what are the chances za kazi na jee as students wanaruhusiwa kufanya kazi?? Then kama hakuna kazi wafanyaje kujazia hizo hela wanazohitaji... sasa hapo ndio mngewashirikisha wanafamilia au ikibidi hata sirikali kuwa hela hizi hazitatosha hivyo tuongezeeni au mbadilishe mtafute either vyuo vya hapo nyumbani au nchi zingine ambazo mtawezajisaidia wenyewe kwa kubeba mabox au kusafisha hawa wazee wa kizungu!! Sasa mmeenda kama mmekatwa vichwa alafu sasa mnaumbuka.. poleni mie siwaonei huruma ila nawashangaa!!
dadakee
githui.
ReplyDeletebwana we wachatuu!
mi sio mutanzoo,lakini nawesa jangia hii kitu because iwas there and iknow the real situation!russia doesn't give adamn to ablack man!lakini kipindi hiyo haikuwa ngumu kukimbia so i escaped as quick as i could!that place is too difficult to manage!sasa niko hapa amerika naweza jilipia mwenyewe tuition fees&accomodation
huwezi amini kwasasa hata kutoka huko kujahuku ningumusana.maana there is my cousin there ihave tried several times toget him out ajefanya walau kibarua summer holiday lakini aijawezekana!ofizi za balozi zote za russia wajuwa kuwa if astudent gets out of that place,to comeback is almost impossible! kahiyo kutoa viza nikama a dream&by chance!
by this imean there is noway these guys can do the way we do here!
hivo wandugu zaidieni hawavijana otherwise sioajabu some of them kupoteza maisha kama watafuata hii ushauri mnayotoa hapa kwa blog ya kubeba mabox
ila tafadhali samahani kwa kuingilia mambozenu ni kwakuwa iknow that some governments are insensitive to other people's problems as long as wao wamekula wakashiba kwa nyumba zao!
wee themarcopolo,
ReplyDeleteunamaanisha nini unaposema wizara izingatie watu wanaoweza kuzimudu nafasi hizo?hii ni kutuonyesha kuwa nawewe ni the member of the clan au??unajuwa wanaowezakuzimudu?? sijakuelewa,unamaanisha ambao accademically wana qualify kwenda kusoma nje au una maanisha awpewe watoto wa wenyenazo!!kisha wa wasionazo wasome tz au una maanishanini?
waogopeni watu wanamnahii ya kinamarcopolo!!!!!maana hawataki kuukabili ukweli alio uzingatia mwalimu nyerere wa usawa kwa wote!.
kweli wewe marcopolo unafahamukuwa kodi ya mvujajasho ndiyo iliyowafanya hao vizito wakawa hapo waliposasa, hivyo vijinafasi vinavyotoka nje, ulishawahi kuziona gazetini nafasi zakwenda marekani,u.k,australia,norway n.k? unadhani hazipo hizo scholarship?
waache watoto wamaskini nao walau waambulie basi hizo za urusi,poland na china.maana ukitataka wazingatie wenye uwezo wapesa unalitengeneza bomu ambalo madhara yake utayaona miaka ijayo!!!
chamsingi ni kuwasaidia wanafunzi kwa idadi wanayoweza kimudu kuisaidia lakini pia sio kuwalazimisha kuishi maisha magumu na ya taabu!unanikumbusha mzee mmoja aliyekuwa ana mlazimisha mwanae aendeshule bilaviatu eti kwa kuwa yeye alikuwa akisoma hivyo enzi zake!wakati huyomzee ni mkuu wamagereza ngazi yamkoa ktk mkoafulani hapa nchini!na uwezo wakupa viatu mwanae alikuwa nao
usitake nicheke maana watu wajinsiyako niwale waliofundishwa kuimbawimbo wa tuzingatieni uwezo!!lakini uwezogani hata wao hawaujui!!teh!teh!teh! wakubwa wanazivuna, bila fungu watu nanagoma kwenda semina!basi waambie wasilipe posho za vikao wabunge na magari ya kifahari ili badalayake zitumike kuanzisha miradi ya kilimo cha umwagiliaji kwa miaka 10 na vijana wamitaani wakazalishe mali humo wapate mitaji wasiwe vibaka1sema hilo kama unao ujasiri uone kama hujaitwa kulee nanihii ukatoe nanihiiii!!!the macorpolo!!!
Hebu taratibu vijana, twajua hizo nafasi mlizipata ama kwa kuwa jamaa zenu wako huko juu au mlitembeza bahasha kwa sana. Sasa mnalialia nini wakati pesa ya matumizi mliimalizia kwenye kuhonga? Ikiwa hamkutoa rushwa ilikuwaje mkaamua kwenda kusoma Urusi wakati mna sifa za kusoma UDSM? Yaani nyie hamkujua Urusi ni balaa tangu ujamaa usambalatike?
ReplyDeleteMbona ndugu zangu wote mlio wengi mnaochangia hoja hii Mnakosa Busara??. Sikubaliani kabisa na wote wasemao kuwa hao jamaa wa Russia wakabebe Mabox au sijui wachakalike kivyao kama ninyi. Kumbukeni kuwa hawa ndugu walipata scholarship ya kwenda huko kama vile ndgu zako wengine walivyopata scholarship ya kwenda UDSM au IFM au SUA au Mzumbe na vyuo vingine. Hivyo basi kama wewe hukupewa scholarship kama wao na ukafanikiwa kuzamia UGHAIBUNI na kuweza kujisomesha na kujilisha Usijilinganishe nao, kwani wewe from DAY one ulikuwa unajua aina ya maisha unayokwenda kuishi. Hawa ndugu wa Moscow nao walijua fikra kuwa maisha yao yatakuwa TEGEMEZI kwa serikali iliyowapeleka kule, hivyo na SERIKALI hiyo basi ina haki kabisa ya kuwawezesha VIJANA hao iliwaweze kutimiza lile lengo lililowapeleka kule. Bila kuangalia ni madai gani ambayo si ya kweli na yapi ni yakweli Lakini serikali yetu ina HOJA ya kujibu shutuma na madai hayo. Hivi nani amewahi kuhoji kuwa zile seating allowance na safari imprest za waheshimiwa wabunge na wafanyakazi wa serikali zingweza kutumika kusambaza maji VIJIJINI? Au wale wanafunzi wengine pale Bongo wanaopata mikopo wasipewe mikopo hiyo nabdala KOO zao zichange kuwasomesha? Hivi nyie mwajua kuwa ile bodi ya mkopo inatoa pesa kama PEREMENDE bila vigezo vyovyote? Jazba yenu ya kunyenyua Mabox kwahiari msiwalazimishe na hawa ndugu wa Moscow kufanya hivi. Mungu ibariki Tanzania, Tubariki na sisi watu wake ili tuzidi kutambua umuhimu wa kila mmoja wetu!.
ReplyDeleteMr. Kaboka pole sana kwa kupitwa na wakati maana mabadiliko yanayoendelea duniani wewe yanakupitia mbali na umebaki na information za soviet union sio za Russia federation. maana hao wanafunzi wanateseka kwasababu Dollar 200 kwa Urusi ya sasa haitoshi hata kwa week ... kwa Moscow ni hela ya kwenda lunch hoteli ya chini.Halafu nataka nikusaidie tu ili uwe up to date na mambo GDP ya Urusi ni Dollar 226 Billion hiyo ni zaidi ya nchi zote za ulaya magharibi(ingia site ya world bank )hivyo warusi wenye njaa wamekwisha na kuna maongezeko ya warusi mabillioners (soma gazeti la Forbes).Kama ubaguzi hata bongo upo tu mbona wanaondesha magari ya kifahari ni waarabu na wahindi,watanzania ukiingia MOVIN PICK unaulizwa unatafuta nini?na ni kwenu sembuse nchi za watu. Acheni longo longo za kibongo angalia vitu kwa mapana hii blogger inaangaliwa na watu wenye akili na maadili siyo sehemu ya pichapo tu. Jamani watu wanauwawa marekani, uingereza china, uhoranzi na sehemu mbali mbali hata bongo kwenyewe hiyo yote ni mipango ya mungu... kitu muhimu ni serikali kuangalia suala zima la maisha kwa mtazamo wa ki leo i mean up to date life siyo kufanya estimation za miaka ya 89-90 jamani maisha ya urusi yako juu kuliko marekani au uingereza.... kwahiyo wahusika fanyeni mpango kuwasaidia wanafunzi.. mwishowe itakuwa aibu kwa taifa...
ReplyDeleteMimi sielewi kwa nini serikali bado isomeshe watu kwenye elimu ya juu? Dar, mzumbe na kungineko? Ingekua inatoa loan na watu wajikusanyie scholaship kutoka kwenye kila kona. Ni field gani ambayo serikali inaona bado kuna umuhimu wa kuwaendeleza watu ili waje wafanye kazi kwako? Wasomi wako wengi tu kwa hiyo sasa hivi. Serikali iwe na jukumu la kumsaidia grants au loan tu. Lakini iwe responsible for 1 - 12 grade.
ReplyDeletenchi hizi zilizoendelea wote ni mikopo tu, grants na scholarship. hamna cha kusomeshwa na serikali. Nchi za huku community colleges ndio cheap lakini ordinary colleges ni expensive. Watu wengine ambao hawapendi kufanya kazi wakiwa shuleni wanachukua mikopo sana tu. Na hata sasa hivi co worker mwenzangu bado analipa loan ya shule ambayo aligraduate in 1996. Kwa vile wengine tumezaliwa wakuangaika tunakwenda shule na kufanya kazi na still tunakeep good grades kwa hiyo degree ya kwanza most of the people ambao hatukuzaliwa nchi za nje tunatoka loan free. Kwa hiyo serikali ingejaribu kupeleka hiyo hela kwenye mambo muhimu na sasa hivi iwe ni mikopo tu na ukimaliza ulipe. Sidhani hata wanaomaliza mlimani wanalipaga kweli?? kwasababu ni wengi wamesoma hapo na mara wameshakuja huku. Nilikua nasikia ukimaliza wankushikia passport yako kwa muda sijui ni kweli.
Naomba kuchangia hoja.
ReplyDeleteWatu wanakosa busara na fikra finyu wakati wa kujadili mambo. Nikiuliza ni wangapi kati yenu ambao wameishutumu serikali kwa mikataba ya richmond, madini n.k wengi wenu mtakubali, lakini huu ni mmoja wa mkataba mwingine ambao serikali yetu imekuwa either haifanyi utafiti (au kutumia facts na estimation za miaka 30 iliyopita) au tu ni kwamba serikali yetu, kwa sababu za kibabe imeamua kuzivunja. Mimi nafurahi kwamba nimekuja ughaibuni kwa nguvu zangu, my destiny is in my own hands, simtegemei babu wala bibi. Hwa watu walikwenda wakiwa na mategemeo kwamba mtu fulani au chombo fulani kimejicommit kuwasomesha, na ni jukumu la chombo hicho kufanya hivyo, au iwape taarifa rasmi ya msimamo wao, hivyo ndiyo mikataba inavyoendeshwa, na kama scholarships zao zimefutwa wataarifiwe (na hii italazimisha serikali iwatumie ticket za kurudi kama iliwapa za kwenda). Kama serikali yetu inatupa mifano hii, unadhani mfanyabiashara wa pale samora avenue atafanyaje? imatisha!
Kingine, ni wanafunzi hawa wajaribu kuact more professionally. Najua kwa tanzania, justice ni ngumu kuwa served hata ukitumia vyombo vya sheria kwa sababu hamna separation of power kama inavyotakiwa, na pia kuogopa backlash hasa mnapotaja majina yenu, lakini kama umeamua kuendelea kukaa na kumoa Mungu maisha yako kwa lolote litakalotokea ukiwa huko urusi, kwa nini usimpe Mungu maisha yako na kujaribu mkondo wa sheria. Ishitaki hata serikali ya Tanzania huko huko urusi, ikitokea mkagongwa na gari in a mysterious way, ni Mungu amepanga, kama vile alivyopanga wewe uchomwe kisu kwenye basi, siyo? Ninachotaka kusema ni kwamba muwe majasiri. Mimi binafsi I've been through alot, lakini jambo moja ninaloepuka ni kulialia au kutoa shutuma zisizokuwa na evidence, it's not a good look. It takes all of your credibility away. Kama ukiangalia watu waliowashutumu humu, wengi wao wametumia point hiyo ya kulialia na kuwa-unprofessional kwenye madai yenu.
Mwisho, nchi yetu inasikitisha sana. Najua kila mtu anasema hili, lakini jamani ni njia ipi itatuokoa? Mbona matatizo kushoto na kulia, na yanazidi kuwa complicated, huku viongozi wetu wanayapuuzia.
Naomba kutoa hoja.
anonz wa tar 2 saa 10:21:04 PM,nimesoma malalamiko yako.nilichoeleza kwenye mchango wangu ni kwamba nafasi za masomo za urusi ni sawa na nafasi za masomo za Tumaini University,in the sense that mwanafunzi anatakiwa kujigharimia tofauti ni moja tu kuwa kule urusi mwanafunzi halipi school fees.sasa je unadhani hakuna umuhimu wa wizara kuweka bayana gharama za kuishi urusi?na je unadhani hakuna umuhimu wa serikali kuhakikisha kuwa wanafunzi hao wana reliable source ya kuwawezesha kuishi urusi kabla haijawapa nafasi hiyo?ukienda kuomba viza ya kwenda kusoma marekani ni vitu gani unatakiwa uthibitishe pale ubalozini?na kwa nini?ukweli ambao hatutakiwi kuukimbia ni kwamba kuna gharama ambazo ziko associated na kusoma urusi,sasa basi nafasi hizo ni muhimu apewe mtu ambaye anaweza kuzimudu gharama hizo.na ili kupunguza mzigo huo ndio serikali imepoa dola 200.nimeeleza kuwa hizo pesa labda haziwaridhishi ndugu zetu wa urusi basi wanaweza kuomba misaada mbalimbali,ila nilichowaomba ni kwamba wasiwe hysterical.hakukuwa na ulazima wa kuilaani serikali wala wa kuweka barua kwenye blog.iwapo tutaruhusu mchezo huu basi blog itajaa barua za wafanyakazi wanaoomba kuongezewa mishahara.zipo kibao masijala ya wizara ya utumishi zinangoja kushughulikiwa.mwisho naomba kukuwekea bayana kuwa i am just a son of a peasant,sio member of "the clan"
ReplyDeleteMichuziiiiii
ReplyDeleteMimi nahisi kichwa kinaniuma kabisaaaa.
Kwanza, wengi wa wachangia hoja ni wenye mawazo finyu sana, hawaangalii mbali na wanaonekana hawachambui kwa undani hoja. Ndio maana wengine wanaandika mistari mingi lakini ukisoma mpaka unafikia nukta ya mwisho unakuwa haujaelewa anamaanisha nini.
Nafikiri katika mchakato wa ku ruhusu maoni uangalie na kama yana point sio mtu anajiandikia tu kwa vile ana la kusema.
Nasikia kutapika kwa uchafu wa mawazo ya baadhi ya watu.
Jinsi walivyo wajinga, wataanza kujadili maoni yangu. Hawa watu hawana kazi, wanapotoka kutoka kwenye lengo mahsusi kirahisi na kuanza kuchambuana. Utaona, ..... wewe anony hapo juu ume....., naye mwingine atajibu na ndo mtindo wa wajinga hawa. Wengine wanasubiri anony aandike waanze kutoa pumba zao.
Nawasilisha
MKONGWE,
ReplyDeleteUnazungumza nini hapa...hizi ni hoja ambazo nyingine lazima zijibiwe kwa nia ya kuelimishana.Ujinga unaoutaja unaondolewa kwa staili hiyo.
Nilifikiri utatoa maoni ya akili kwa kuwa unawaita wengine wajinga....!Maoni yangu yapo juu.Bado namkumbuka marehemu Edward Moringe Sokoine....Baba wa taifa Mwalimu Nyerere kama aina ya viongozi ambao hawatapatikana kwa muda mrefu katika nchi yetu.
KIkwete ama Kiwete....huyu ni mlaji mwingine.Lowasa...huyu ndio kabisa...hakuna hatua anazochukua kuonyesha kweli yuko serious.They are so soft!!Si ajabu Nyerere hakuwataka watu hawa.
hivi wewe unayesema wanafunzi wabebe maboksi umesoma? na wewe unaoutukana ukoo wa wanafunzi heti ni maskini unafikiria? mimi nimesoma hapo lumumba and i know the real situation of moscow.let me tell you kwamba moscow hamna kazi,cost of living ni dola 700 per day at that time mi nipo moscow.sasa hivi mnafikiri itakuwa ngapi kama si zaidi ya dola 1000.hivi serikali inapeleka wanafunzi kusoma au kuteseka?kama haiwezi kumeet the cost of living in moscow ni bora kuwarudisha nyumbani sio kujisifu inasomesha wanafunzi nje.mi namuomba muheshimiwa Kikwete kushugulikia suala hili maramoja.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteNadhani kuna umuhimu wa kuyachuja maoni yanayoandikwa kwenye blog yako, ingawaje naamini kuwa unayaheshimu maoni ya kila mtu. Watu wengi waliotoa maoni yao naona wana upeo mdogo sana wa kujadili mambo.
Inasikitisha kuona kuwa katika karne hii ya 21 inaonekana watanzania wengi hawajajua jinsi ya kujadili mambo kisayansi maana wengi wanakurupuka tu. Yafaa kutumia facts and figures ili kuonyesha upeo mzuri wa mawazo na hata rejea fulani fulani katika kujadili mambo na siyo hearsys!
Naomaba kutoa hoja!
poleni sana vijana wa lumumba-urusi!mimi nilisha fika urusi na nina rafiki yangu ambaye alisoma urusi.moscow bwana is the most expensive city in the worlid.sasa najiuliza serikali ya tanzania pamoja na balozi wake wanafanya nini?kwa nini wapeleke wanafunzi moscow bila kufanya research ya cost of living kwanza ?huu ni utoto au labda kuna ulaji ndani yake!manake haiwezekani wewe upeleke wanafunzi kwenye nchi ambayo wewe hujui hali yake!maisha bora kwa kila mtanzania ndio usemi wa mheshimiwa wakati anaomba kura. sasa je hayo ndio maisha bora hao vijana waliopo moscow waliyoahidiwa? naamini serikali sio maskini kiasi cha kushidwa kuwasaidia wanafunzi ilioapeleka moscow mbona vijana waliopelekwa china kama sikosei walitoa malalamiko yao na nadhani yalitatuliwa sasa hawa wa moscow vipi? au balozi wao ni nani?sio mtanzania ?mimi mwenyewe nipo ugenini ndio maana vijana wa moscow wamenishtua .naomba wahusika wa pay attention kwenye suala hili ndio viongozi wa kesho hawa.
ReplyDeletekwa wale tuliokuwa russia kwa miakamichache iliyopia ngoja tukupeni data za gharama mlinganishe wenyewe.
ReplyDeletepango la nyumba 3rooms=$1500/mwezi
-hostel=$100/mwezi,
-nauli rout 1 daladala=$0.7=Tsh800
-nyama ya ng'ombe 1kg~$10
-mifuko ya kufunikaviatu unapoingia ktk ofisi au darasa=$1/day
-(embe) 1=$3
-nyanya1kg=$3
kwawale wanaodhani kuwa vijana hao wanakulahotelini,basi hiyo $200hata wiki isingemaliza.tulikuwa tunajipikia ndio maana natoa data hizo
-kwa walenao daihakuna practical work,siokweli inategemeana na kozi yakonachuo pia,mfano computer,telecom,medicine,elecric.eng wanalazimika kufanya,japo warusi hawaiiti fieldwork maana utara utaratibu wao ni tofauti kidogo,lakini tulikuwa tunakwenda kufanya na unajigharamia kwenda kilasiku ulikopangiwa,bila hiyo walikuwa hawawezi kusaini kitabuchako kinachoonyesha accademic progress yako.
gharama nyingine sijazitaja lakini pia kwa mtazamo wa hizo tambueni kuwa zikojuu sana.mfano viatu vya $15 hapa dar,moscow ni $70.
sasakule pia mavazi ya winter ni gharama sana na yalikuwa ni lazima.
siwezi kujua kwa sasa,lakini kwamtazamo wangu wa wakati ule $400 ingeweza kutusaidia kipindi kile kwa mwezi.
anyway,kuna nchi zilikuwana wanafunzi wengisana kama zambia,nigeria,cameroon,angola,n.k walikuwa wanawasaidia vizuri wanafunzi wao!hata msumbiji japo uchumiwao hali yaamanikwao havikuwepo.
na kwa wale msio tambua tabia ya wale nduguzetu, ukiwa na shida hakusikilizi anchotaka niwewe utimize masharti yanayo takiwa,kwamnao fahamu kirusi niwakumbushe wasemavyo -eta nye maya problema,eta vasha!(hii sio shida yangu.ni ya kwako wewe)akisemahivyo amemaliza!
sasa nijuu ya serikali ama kuwasaidia,ama kuendelea na tabia yake ya kufumba macho kama ilivyo tufumbia hadi tukamaliza tukaondoka!
Katika maisha kuna kitu kinaitwa lazima ufanye kitu kinaitwa kiingereza COST-BENEFIT ANALYISIS (CBA) uangalia gharama na faida za kufanya jambo.
ReplyDeleteKama Gharama ni kubwa kuliko faida ya sasa au baadaye unaachana nalo.Hata kusoma au kupewa Scholarship lazima ufanye Cost Benefit Analyisis.Kuna msemo wa kiswahili unasema "vya bure gharama".Kuna vitu vya bure kama hizo scholarship za Urusi lakini vina gharama kibao zilizojificha.Taabu ya watanzania wengi akisikia Scholarship ya bure hafanyi Cost-Benefit Analyisis anakurupuka tu kuikubali bila hata kujali kama ukirudi hiyo kazi atapata au la.Kilio cha hawa wanafunzi ni ushahidi kuwa hawakufanya Cost-Benefit Analyisis kabla ya kwenda ndio maana wanasema hawakujua.Walitakiwa kujua.Hata kama hakuna wa kuwaambia ilitakiwa watafute data kama zile za COST OF LIVING kule.Na wangeweza kuzipata ubalozi wa Urusi wangetaka.Taabu wengi wanafikiri kazi ya balozi ni kutoa Visa tu.Mtu ukiona anaenda ubalozini hasa mtanzania ujue anafuata Visa.
Kusoma ni kuwekeza kama investment nyingine yoyote (You are investing in yourself).Usikubali tu Scholarship mradi umeambiwa utalipiwa bure unakurupuka tu kusema sawa.Unaweza poteza muda wako wa kusoma katika mazingira magumu ya gharama kubwa ikakuumiza na mwisho isikuletee benefits unazotarajia kama vile ajira nzuri n.k.
Hata vya bure inabidi tukae chini tuvifanyie COST BENEFIT ANALYISIS kama watu binafsi na Serikali maana vingine vina gharama zilizojificha sasa au zilizojificha tutakazoziona baadaye.
koloboi@yahoo.com
Mtalijua Jiji!!!
ReplyDeleteMy Africa Today
ReplyDeleteWATU WENGINE MNAONGEA KAMA MNAOTA TU. HIVI MNASEMA MOSCOW IS THE MOST EXPENSIVE CITY IN THE WORLD, Can you guys substantiate? Unajua lugha unayotumia lazima uwe makini nayo. Ungesema ni one of the most expensive cities in the world ningeelewa. Hasa kwa maisha ya mwanafunzi, kuna mazingira mengi ya kuangalia unafuu wao wa maisha as opposed to hali ya jumla ya mji. Ukisema hivo, je ina maana chumba kimoja ni zazidi ya $ 1,000?
ReplyDeleteMiji kama LA, San Fransisco, New York na mingine mingi, room inaanzia bei hiyo. Sasa wanafunzi wa sehemu hizo wana nafuu kuliko huko Urusi? Afu kumbuka Urusi bado wako kwenye 'infant stage' ya ubepari, na hivo huwezi kulinganisha na financial obligations za nchi za kibepari. Hao vijana wacha wajifunze kuwa maisha siyo tu smooth muda wote.
Watalijua jiji kama alivosema jamaa hapo juu.
nakubalia na maoni ya wanafunzi kuhusu ugumu wa maisha katika jamuhuri iliyovyunjika ya kisoviet yaani Urusi.Maisha ni magumu wakatimawazo ya wengi huko nyumbani bado wanamawazo ya kua Urusi ile ya zamani iko vele vile haya ni makosa.Cha kusikitisha ni kwamba kunabaadhi ya wachangia hoja wanajaribu kuifananisha Urusi na nchi nyingine za Ulaya haya ni makosa kwani nchi hii swala la kufanya kazi au kubeba maboksi ni ndoto kwanza hairuhusiwi kisheria vile vile kiusalama.Njia pekee iliyokuwa ikiwapatia fedha za ziada ni kwenda kuchuma matunda ulaya wakati wa likizo,lakini swala hili hivi sasa ni ngumu kutokana na ugumu wa kupatikana viza kwenda nchi hizo za Ulaya kwa hiyo tegemeo pekee ni hiyo posho toka nyumbani.Pia serikali inapasa kuelewa ya kua kila inapopandisha mishara ya maofisa wa ubalozi kutokana na kupanda kwa maisha hapa Urusi pia ongezeko ilo kwa asilimia hiyo hiyo lifanyike kwa wanafunzi kwani serikali inapopandisha mishahara huko nyumbani upanda kwa ngazi zote.Alafu napinga kabisa kwa utaratibu wa ofisa wa ubalozi kusafiri kwenda miji mbali mbali kupeleka posho utaratibu huu ni ufujaji wa pesa za serikali hivi kweli hakuna utaratibu unaowezekana kutuma fedha hizo kwa njia ya benk kwani wakati mwingine ni kichekesho kwa ofisa wa ubalozi kupeleka pesa kwa mwanafunzi fulani katika mji fulani kwa mfano $400 wakati ofisa huyu wa ubalozi anatumia dola 600 ili kupeleka $400 ?!!!!!.Kuhusu lugha waliotumia wanafunzi hao sio nzuri sana lakini hii isiwe sababu ya kudhalau maombi yao.Kwani utokea wakati mtu matatizo yanapokuzonga unapoteza kauli hili tunapashwa kulielewa.Kunamtoa hoja aliyesema ya kua pesa wanayopata hao wanafunzi amsaidii kitu chochote huo ni ufinyo wa mawazo kwani wanafunzi hao baada ya kuhitimu masomo yao wanalitumikia taifa kwa manufaa ya umma Madaktari,waandishi wa habari maiginia n.k niwatu muhimu kwa taifa
ReplyDeleteunajua wakati mwingine mtu anaweza kukosoa kitu kilichotolewa na mtu mwingine bila kufanya reseach. Na sio kila mada inayojadiliwa ni lakima kutoa maoni, maana kuna maoni mengine badala ya kujenga na kuelimisha jamii, yanabomoa na kuharibu maana ya hoja yenyewe.
ReplyDeletesasa ndugu yetu hapo juu ametaja majina ya miji ambayo top 10 yanachungulia tuu kwa gharama duniani. mji kama LA, San Fransisco hata top 10 haipo. hebu ndugu yetu angalia kwenye tovuti http://www.finfacts.com/costofliving.htm utafiti uliofanya na shirika linaloitwa Mercer Human Resource Consulting mwaka 2006 inaonesha MOSCOW WA KWANZA UKIFUATIWA NA Seoul THEN TOKYO ni wa tatu.
kwa hiyo rafiki wakati unaongea na kutoa maoni kwenye tovuti kama hii, ujue unaongea na ulimwengu ambao una watu ambao ni dhahiri kuwa ni perfect au tuseme ni werevu kuliko wewe na wana data na wanachokiongea.
kwa ndugu zetu mlioko huko Moscow msikate tamaa, endeleeni kuiomba serikali iwatimizie mahitaji yenu huku mkiendelea kumwomba Mungu awasaidie katika swala hilo. MARA KWA MARA MUNGU ATAWASAIDIA
No data no right to comment. According to the 2005 research, moscow is in fourth position of the most expensive Cities in the Globe. kwa nini serikali iwapeleke hawa watoto bila kufanya kwanza uchunguzi wa kina kuhusu maisha ya huko kwa Ujumla? tena nina wasiwasi hata na elimu wanayopewa huko. matokeo yake tutaendelea tu kuwa kwenye orodha ya among the poorest countries kutokana na ukweli kuwa hawa vijana wenyewe wamashaanza kujazwa roho ya individualism.... we unadhani nani atakubali kumsaidia mwenzake wakati ye mwenyewe alikuwa hasikilizwi?
ReplyDeletetaifa tutegemee nini hapo? Mimi nashauri hawa vijana warudishwe nyumbani ambapo gharama za maisha na masomo kwa ujumla siyo kubwa.
thanks michuzi.
World's most and least expensive cities
Source: Mercer Human Resource Consulting, 2005 Cost-of-Living Survey
1 Tokyo, Japan
2 Osaka, Japan
3 London, United Kingdom
4 Moscow, Russia
5 Seoul, South Korea
6 Geneva, Switzerland
7 Zurich, Switzerland
8 Copenhagen, Denmark
9 Hong Kong, Hong Kong
10 Oslo, Norway