Home
Unlabelled
klaaaaaauudz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndugu shafii Dauda,acha mambo ya kutamka vitu bila uhakika,How on earth can u say old Traffoo(Instead of old trafford,remember iko uingereza na sio ufaransa) and Unatamka Aston Viya(Insted of Aston Villa, Remember the team is in England and not spain). Pia jaribu kutulia unapotangaza instead ya kupaparika mpaka unakua na kigugumizi.
ReplyDeleteOtherwise great stuff that u r doing.
Tanzania hatuna hata Redio moja inayopatikana mtandaoni!!!
ReplyDeleteUkienda kwenye mtandao wa KLAAAAAUS FM utakuta mambo ya mwaka alubainasaba(mambo yenyewe sio audio)!
hey huyo aliyetabasamu na meno yote nje ...mh ..mh ..mh.. is he single...? he is kind of cute...michuzi .....toa data basi....
ReplyDeletewe shafii dauda unatisha sana na habari zako hasa za kumbukumbu,mimi nakupongeza sanaa na huyo jamaa anayesema eti unakosea kutamka majina ya hizo timu hakuatilii vizuri, tatizo watu wanataka ukitamka hayo majina kwa kiswahili,mimi sioni kosa,you are so unique dauda keep it up!!
ReplyDeleteshafii dauda tunakukubali sana kwa habari motomoto za kimichezo unazotupatia,jaribu kutupatia rekodi mbalimbali za kimichezo hapa Tanzania kama ilivyo kwa wenzetu Ulaya kwa mfano mchezaji anayeshikilia rekodi ya kufunga magoli mengi,timu ambayo haijawah kushuka daraja na mambo mengine kama hayo!!!ni hayo tu.
ReplyDelete