Home
Unlabelled
harusi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mtafute chumba basi! Ona Inno anataka kuanza kufanya mapenzi hapo hapo. Tunaona nyama ya kiuno.
ReplyDeleteBeauty & the beast
ReplyDeleteah hao inaonekana walishategeshea ili mtoto wao baadae achukue makaratasi ya ughaibuni kilaini. Nawapa hongera lakini. mahesabu yao yametulia
ReplyDeleteMisoup IKAJIBU nini?? Mimba, talaka au Ndoa nyingine??
ReplyDeleteInno kumbe mjini? Tukutane Blue Nile weekend. Hongereni naona mamaa karibia anafumuka.
ReplyDeleteHivi Michuzi kwenda ughaibuni ni big deal sana? Labda kwavile nimeishi huko sana kwahiyo naona ni just like my country. Blog yako naona unafagilia watu wanaoenda ughaibuni saaaana.
ReplyDeleteTuonyeshe watu waliioana wakaenda honeymoon kwenye mbuga zetu za wanyama, watu wanaopanda mlima K tutaangalia na kuappreciate sana.
looh!binti mzuri we! kulikoni!
ReplyDeletewe binti mzuri namna hiyo,umefuata nini hapo? manake hiyo sura ya mwenza duh? au sababu alikutunuku umeneja mapema? haya bwana maisha mema.
he! yaani kambana huyo mtoto aliyeko tumboni hivyo! Ndiyo maana wasichana wa siku hizi wanazaa watoto ambao wanakuwa mentally retarded.sas anaficha nini wakati masanja mkandamizaji alishasema ndoa za siku hizi lazima utakuta matumbo yametuna kama ilvyotokea kwa pamela lowasa na wengine. Shaim. NOPE
ReplyDeletehii ngozi huyu mshamba anaileta mtoni anafikiri ata dumu nayo kuna number mbaya sana ughaibuni tena kama marekani na uk lazima apokonywe. mwambie arudi tena kuangalia upya demu wa hali yake siyo kila kitu wengine wanataka kuja tu ughaibuni lakini mapenzi na huyu pimbi hayapo kabisa. pole Inno umejitahidi lakini kufanya kosa siyo kosa kurudia ndiyo issue...!
ReplyDeleteDada Jenipher hongera, Utulie sasa maana dada zetu nyie ma super star hamkawii!!
ReplyDeleteasalaleeee mwana huyo mzuri kweli kweli lakini mbona pembeni hapo mhhhh hakuna uwiano...au ndio money talks,kila la kheri na maisha mema na mpendane kweli kweli na mzae watoto wanaofanana na mama maana baba sura itaharibu watoto
ReplyDeleteMichu...kwa ndoa kujibu unamaanisha wanatarajia kupata mtoto karibuni?? Hawa couple si mchezo naona chemistry imekubali, watatotoa mtoto wa nguvu...
ReplyDeleteMichuzi, hebu tuambie huyu inno ni yupi... tupo wengi siku hizi! anafanya shughuli gani na profile kwa ujumla....
ReplyDeleteHallow Bw. Minofu a.k.a Michuzi, hawa ni akina nani tena mbona unaleta habari ambazo sio faida kwa wana BLOG yako ????? Acha hizo Mzeeeeeeeeeeeee !
ReplyDeleteIM DISAPOINTED WITH PICS IN THIS BLOG!! WHY???
ReplyDeleteHata mwanamme ni matunzo. Jeniffer kazi kwako ukimtunza vizuri mumeo baadae atapendeza tu. Ale vizuri, organised....kwa kifupi awe na inner peace.
ReplyDeleteAnon hapo juu hata kama ma inno mko wengi lkn sura zina pishana kwani si tunaona picha? mbona una wasiwasi?
Hongera zenu
sura mbili tofauti sana,jamaa lazima wakunyanganye mke maana sura huna na unaonekana umechoka ile mbaya...tabu ni pale watoto wa kike wakichukua sura ya baba lazima hapo upigwe chini maana utaharibu watoto
ReplyDeleteNyie mna wivu si kingine. Watu muonyeshe maturity, msiwe kama watoto. comments za sura si jambo la msingi, character ya mtu ndiyo bottom line. Inno namfahamu. He's young and well accomplished for his age and I think he'll go very far. Jamani ongelea na mtu kwa character, siyo kwa sura au viatu alivyovaa. Isitoshe ina siyo muuza sura! The guy is an economist, working for socio-economomic development organization. Sitaji jina maana wengi mtaanza kumsumbua mnaomba kazi.
ReplyDeleteNashangaa wanaosema hilo dume linasura mbaya. We-Unataka awe na sura ya kike. Mwanaume unatakiwa uwe na misuli, na sura ya kiume, nyie mabishoo msilete za kuleta. Hilo ni dume na sio gay. Na kwa taarifa yenu females wanapenda midume kama hiyo sio visura. Wanaume mnakuwa visura wanawake je.
ReplyDeleteinanishangaza sana kuona watu tukitoa comments za sura ya mtu, chunguza tabia na msimamo wa mtu sio wauza sura ambao ni ma play boy, any way hilo ndio tatizo na madada zetu they'r after u hundsome bila kumjua mtu kiundani. tuelimike jamani. hongera inno kwa choice nzuri nawatakia maisha mema.
ReplyDeleteguys stop exposing ur internal life.U sounds stupid and classless.
ReplyDeleteI hope umeenda ughaibuni ya marekani au Canada. Kwa vile ughaibuni nyingine ukizaa mtoto huko na wee sio raia sana sana unachopata ni bill ya hospital tu. Canada free na US wahi charity bill itakua covered. Kuzaa ughaibuni si mchezo mtuulize siye.
ReplyDeletehat uwe nani bongo hela ya madafu haigawanyii kitu kidogo ni mamilioni ya Tshs
Michuzi , sio kila mtu ana mjua kila mtu ok, so ukiwa unatoa picha jaribu kuwa unawafahamisha watu na ukichukulia kama kila mtu hawafahamu.
ReplyDeleteHuyu Ni Jennifer John (siba uhakika na last name) , alishirikia kwenye mashindanano ya Miss Tanzania ,kama Miss Shinyanga, mwaka sikumbuki , ila na dhani ni mwaka wa kina Farajah Kota .
Aliolewa na Inno (?????) , ambaye ni mkazi wa Washington,DC, ila mzaliwa wa Tanzania, na harusi ilifanyika Ubungo Plaza mwaka huu.
Kwasasa Jennifer kakimbizwa DC kwenda kuzaa mtoto apate uraia na bwana ni mmoj wa NGO fulani iliyo hapa TZ kama Director .
Huyo Inno anafanana na yule mcheza sinema maarufu, Vondie Curtis Hall, ambaye ni kaka yake Arsenio Hall!
ReplyDeleteState gani wako hawa mbona hamsemi? wasamaria tupo tunataka kumsaidia inno ongeeni basi
ReplyDeleteMIMI NI MWANAMKE,BINTI HUYU NI MREMBO SANA SANA KWA KWELI BAADA YA KUSOMA HAPO JUU NIMEKUMBUKA KUMBE NI MISS PIA NI ILE HARUSI MCHZ ALIITOA HAIKUONEKANA VIZURI NALOTAKA ZUNGUMZIA HAPA NI KUHUSU HUYU MWANAUME KATULIA TENA SANAA TUU WANAUME KAMA HAWA WENYE MAUMBO YALIYOTULIA HIVI NI NADRA SANA KUWAPATA PLUS KAZI IMETULIA NYIE MNACHEZA SANA(WOTE MLIOMPONDEA) WANAENDANA KATIKA KILA NAMNA ILA TU NACHOKUOMBA BRO INNO KAMA BINTI HANA KITU MAALUMU CHA KUFANYA HIYO NDIYO ZAWADI PEKEE KUBWA UTAKAYOMPA IKIFUATIA AMBAYO MNAISUBIRIA HIVI PUNDE MAANA HAWA MAMISS WAKATI MWINGINE WANADHANI UMISS NDIO KAZI...NAWAKILISHA.
ReplyDeleteWaandishi hawakukosea, Kosa ni la michuzi. yeye kaweka picha bila full introduction what much you do expect katika kijuwe hiki?
ReplyDeleteUsiyemjua humthamini. Na hiyo picha ukiiangalia na hakika watu wame judge according to what they see and not what they know. Michuzi anafikiria mtu akishakua na kazi nzuri TZ na binti kuwa kwenye Miss TZ basi kila mtu anawafahamu akiweka tu picha yeke?
Anayesema mwanaume mbaya huyu hajui mwanaume mzuri au ni wivu.
ReplyDeleteMwanaume anakila sifa ya uwanaume.
Na kama ni mrefu kuliko huyo bibie basi nothing to say at all.
He is a very handsome guy and this is like any woman dream.
Many women prefer a strong dark man and not a soft light skinny man.
They are a perfect couple na mtoto wao atatoka vizuri sana. Kama ni wakike achukue sura ya mama na kama ni wakiume achukue sura ya baba period
SWALA SIYO DARK SKIN,SWALA NI JAMAA AJANAWIRI NAMAANA ANA WEUSI ULIOPAUKA,NA HAWAENDANI KABISA KATIKA HIYO PICHA NA HUYO DEMU.
ReplyDeleteyaani mtaongea sanaaa ila jamaa ndio kapata demu na sio demu tu kapata mke na mke kapata mume, hata mkicomment kuhusu jamaa mke alimpenda jinsi alivyo, tuache wivu kama hatukapata beautiful wives to marry. kuendana na kupendanda na vitu viwili tofauti, wazungu wanasema where there's love there's everything. guys you accomplish one another.
ReplyDeleteNYIE MNASEMA MUME HAENDANI KABISA NA HUYO DEMU!!! MMECHEKI WALLET YAKE?
ReplyDeleteBondo hapendwi mtu anapendwa pochi lake tu. Wewe ulikua unasubiri hapo ili ang'ae wenzako wamejinyakulia.
Kuna mzee moja hapa kazeeka kweli na ana hela kishenzi. Ana kibanda hasara chake kizuri tu sana na kazaa nacho mtoto na kamjengea, kamfungulia duka la nguo na kila mara bibie na mwanae trip za nje wanapata.
Sasa huyo ndio kweli ukisema hawalingani hata mimi sitakushanga.
Watu bwana wabongo hawataki kukubali kama hawa watu wanapendana wivu wao mademu zao wanatisha.Nani kasema demu hakiwa mzuri basi malaya, acheni hizo wabongo jamaa ana pesa ana haiwahusu
ReplyDeleteWaja mna wivuuuu kupitiliza,Jenifer ni beautiful na inno ni handsome...period!
ReplyDelete