wabongo mnajidai ati mnajua kula pilau la shughuli....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2007

    Aaah michuzi nina mashaka Photoshop imetumika hapa. Hao mashehe kumi tu ndio wafukie bwawa hilo la kipunga??

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2007

    Kweli jamaa wako juu!! Hiyo nguna ni ya kufa mtu...Ni saudia hapo ama??

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2007

    Wamechinja Kondoo wangapi hapo!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 08, 2007

    Mzee hii kali kweli, hapo mtu kufa hafi ila kupigika atapigika

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 08, 2007

    Wanataka kwenda kwenye guiness book au ni ro real watu wanakula pilau lote hilo. Mbona hata sahani ni kubwa sana.

    Hilo pilau na rangi yake linaonyesha kali sana. mate yananidondoka hapa nilipo..

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2007

    Usikute hivyo ni vichwa vya watu na nyama za binadamu...you never know my friend...

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 08, 2007

    Halafu miili ya kawaida tu,kweli kula sio kunenepa jamani.
    Sasa watafikaje hapo kati?labda wajinyooshe kwa staili ya kulala...aahahha ahhahha!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 08, 2007

    Ehe bwana Michuzi, hilo plate la hiyo pilau balaa. Yaani hapo unakula unashiba, unakwenda kuswali na ukirudi unakuta wanaume wanaendelea na shuguli.

    GAZ

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 09, 2007

    Hii kali, siamini!!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 09, 2007

    du mchuzi hii wapi?sasa hilo limepikwaje?mtume kweli hao warabu sijui ni kiboko ya pilau

    ReplyDelete
  11. Ina maana hilo ni sinia la pilau? Utani huo mjomba!!

    Unakumbuka zile enzi za mnuso uswahilini na unaenda na ndizi!!!

    Ha ha ha haaa

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 09, 2007

    MICHUZI VIPI TENA? WAKIMALIZA PEMBENI WANAINGIA KATI NINI? NINA HOFU ISIWE WANA ASILI YA GININGI- BY MUDRIK ZANZIBAR

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 09, 2007

    yaani nahakika kwamba humo si chini ya magunia 20 ya mchele na ngamia 6 sio mchezo.yaani hilo punga likifika kati mtu anakucja kanzu yake anazama kati anaendelea kugonga kama kawa.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 09, 2007

    Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni HAPA

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 09, 2007

    nina wasiwasi sana na healthy and hygiene hapo!!

    ReplyDelete
  16. Uwiiiii, hii picha inanipa kichefu chefu!

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 09, 2007

    Labda wanakula wkw azamu hapo

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 09, 2007

    Kumbe waarabu walafi hivyo!

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 10, 2007

    mi nasikia kutapika!

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 10, 2007

    Hivi waislamu ukitaka kula pilau lazima ukae mkao kama vile wa mtu anayetaka kunya.

    Au dini ndio imeagiza huo mkao! maana iwe maulidi au iddi huwa naona watu wanakaa huo mkao wa kutaka kunya.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 10, 2007

    We mshenzi usiye na adabu na dini za watu wa saa 1;07,hv wewe ukitaka kunya huwa unakaa hivo ndio unakunya?basi hujitapakaza mavi matako yote!maana hapo wamekaa umeona wamechutama hapo,muone kazi kuiga wazungu tu ndio maana mnanuka mikojo na mavi matakoni ajili ya toilet paper za kuiga uzungu.

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 11, 2007

    Anon wa 1:07 hivi wameandikwa hao ni Waislamu? Naomba ufafanuzi tafadhali.Inaelekea mwenzetu una elimu kubwa sana hadi umeweza "kugundua" kitu ambacho wengine HAWAJAKIGUNDUA!...teh teh teh!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...