niko na ticha wangu ayoub rioba na mh. jane mihanji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2007

    Hongera bi Jane Mihanji nakumbuka enzi zako za Uhuru na Mzalendo kabla hujaenda RAI/Dimba na Mtanzania. Umekuwa mbunge au naota tuu....misoup wewe vipi husimami pale gerezani ulikokulia? MTZ

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2007

    Yaani kila mtu ni mbunge usishangae sana ndugu yangu.
    Mimi kuna jamaa moja niliona nina lake ni mbunge nilishangaa pia.
    Ubunge ndio position zipo vacancy bongo kwa hiyo kama uko majuu ukirudi kupata kazi itachukua mda ni heri ujaribu ubunge. It is so easy. Kama huna pa kugombea basi jaribu wakuteuliwa angalau.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 07, 2007

    Ndiyo. nawaona - wewe, ticha wako na jane. Lakini mko wapi? Au mnakwenda wapi? Hujasema.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 07, 2007

    Mko wapi, au mnakwenda wapi? Michuzi eleza!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 07, 2007

    Ayubu,
    Stili ezi hendisamu ezi eva, yu a luking gudi oloweiz!
    Kipu apu blaza.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 07, 2007

    Ayubuuu...nakuona mjomba, shavu shavu..nini, naona mambo si mbaya, vipi vikao bado vinaendelea maryland??!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 07, 2007

    Michuzi,
    mbona unakosea lugha? "Niko na ticha wangu" ndo kiswahili gani? Unatakiwa useme "niko na mai ticha wangu"! Kama kiswahili kinakushinda sema ufundishwe! Ebo!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 07, 2007

    hongera dadangu Jane Mihanji duuhhh kumbe bado uko supa nilisikia minong'ono fulani hivi watu wakisema oooh sijui nini, lakini Mungu jaalia Hongera Mheshimiwa Mbunge hivi yule mumeo DJ Masoud Masoud yuko wapi.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 07, 2007

    Mhhh jamani huyo dada Mheshimiwa?Ama la kweli Tanzania imekwisha.Sasa hayo mavazi unaweza kumtofautisha na mdada tu wa mtaani???

    Kwa kweli wewe dada hujakaa kama muheshimiwa kabisa.Jiweke uheshimike.Sijui hayo mavazi ulikuwa unakwenda wapi.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 09, 2007

    Kama kawa muheshimiwa unadhani Dj Masoud Masoud anachake hapo, huyo ni muheshimiwa na wenzake waheshimiwa kwani hamjui

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 10, 2007

    Mbona huyu mheshimiwa nimem search kwenye bunge site lakini sioni jina lake? Ni mheshimiwa wa nini? Naomba kuuliza nilizania ni mbunge au nimekosea? kwa vile kiswahili cha michuzi saa nyingine kinatatanisha sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...