aisha na vimbwanga vyake juu ya meza ya majaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2007

    Saa za mwisho zilizotabiriwa ndio hizi. Wanaume na wanawake wazima na akili zao wakikodolea macho tupu za wanawake mbele ya halaiki. Tusubiri maangamizi!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2007

    mai milk is standing !

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2007

    Mwalimu Nyerere anajigeuza huko kaburini kwake!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 12, 2007

    michuzi nawewe kumbe ulikua jaji, ulifaidi mauno kwa macho

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 12, 2007

    ohoo!! mungu wangu tanzania yetu inakwenda wapi, yani tunaona ufahari kufanya mambo haya na kuwakopi watu wa ughaibuni.halafu tunapigania haki za mwanamke tutafika kweli kwa mambo kama haya, nadhani nata baba wa taifa alipo anasikitika na nchi yetu inavyokwenda.
    mara shindano la twanga pepeta mara sijui manywele mara sijui nini na nini, maendeleo wa mwananchi wa kima cha chini kweli yatapatikana kwa mambo haya kila leo kukicha starehe na mambo ya kipuuzi ndo yaliyozagaa nchini mwetu, watanzania at one time tulikuwa tunaheshimika ulimwenguni na kujidai na ashukuriwe baba wataifa daima leo hii yalio baki ndo haya na wanawake kuwa chombo cha kuwaburudisha wakina baba. poleni sana ndugu zangu, mungu atakusaidiyeni tuu, yani haya kabisa si maendeleo wala si burudani kabisa ni uzalishaji wa mwanamke daima na si nchini mwetu kote ulimwenguni upo..
    inasikitisha na kukatisha tamaa kuona wakina dada na wakina mama zetu wakikata mauno mchana kweupe mbele ya umati wa akina baba wasio wahusu ili tu upate mtu chochote.
    mungu wangu isaidiye nchi yangu tanzania amen.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 12, 2007

    Tumekwisha! Siyo maadili ya mtanzania hayo mashindano!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 12, 2007

    Nakuona Manager Mrisho wa Global publisher(kwa Shigongo)kumbe nawe ulikuwepo?

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 12, 2007

    Huku ni kudhalilishana. Yaani mwanamke achenze mbele ya wanaume ndio nini?

    Hii ni indirect ukoloni unarudi au legalized porno. Mmefanya wanawake ni kivutio chenu kwani wanawake hawawezi kujua kuwa mtu anacheza vizuri? Sioni judge mwanamke hapo.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 13, 2007

    Huuu sasa ni ujinga majaji wanaume ndio nini? wanawake hawajui kujaji na Asha naye amecheksha hebu asituzalilishe wanawake bana alaaa!!!!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 13, 2007

    ACHENI KUWADHALILISHA WANAWAKE!! HII NI AIBU KUBWA KWA WATANZANIA NA TANZANIA.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 13, 2007

    Jamani haya ni mambo ya kawaida kabisa. Huwa yapo kila wiki katika baa zetu kunapokuwa na show za live band au promotions za bia. Mnaoshangaa bila shaka huwa hamhudhurii "vikao"

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 13, 2007

    HUU NI UDHALILISHAJI WA WANAMKE,VYAMA VISIVYOKUWA VYA KISERIKALI VYA KUPIGANIA HAKI ZA WANAWAKE VIKO WAPI?WANAOPENDA USAWA WA JINSIA WAKO WAPI?TANZANIA BULLSHIT NCHI MASIKINI BADALA YA KUFANYA MAMBO YA MAANA MNAKADHANIA UJINGA,MARA TWANGA SIJUI NINI,MARA CHIFUPA.INACHUKUA MUDA YA MAMBO YA MAANA YANASAHAULIKA.KICHEFUCHEFU!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 13, 2007

    ITS NOT UZALILISHAJI WA WANAWAKE KUCHEZA JUKWAANI BUT SIKUDALIANI NA HUYU DADA AISHA KUCHEZA KWENYE HIYO MEZA.

    MAVAZI YABADILIKE KIDOGO.

    MWANAMKE ANAJINYANYASA MWENYEWE NA UJINGA NA SHIDA ZAKE.KINA DADA NENDENI MKASOME.KUNA NJIA ZA KUHESHIMIKA ZA KUJIPATIA PESA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...