mdau una habari channel 10 ya bongo inapatikana juu ya mstari? cheki linki hiyo alotutumie mdau mmoja sasa hivi...

http://www.jumptv.com/en/channel/Channel10Tanzania/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2007

    Huyo mdau wako michu mbona hajaawaambia kwamba inabidi ulipie ,na hii ipo long time.
    Kuna tv ya bure online Bongo wapiiii,Radio tu iko moja tu ya kidini .

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2007

    Ipo makini Hongereni Channel 10, ila isiwe nguvu ya soda. Tumeona Radio baada ya wiki tu hakuna kitu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2007

    mdau hiyo si ya bure lazima zikutoke dolari kidogo

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 07, 2007

    Hata StarTV

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 07, 2007

    TUNASHUKURU SANA MICHUZI KWA KUJALI WATU WA UGHAIBUNI.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 08, 2007

    bure kwa wenye IP za marekani

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 08, 2007

    Nyie "anoni" wa hapo juu mnaodai kuwa lazima ulipie mnasema kweli au mnadhani tu kuwa lazima ulipie.

    Mimi nilinunua compyuta ya ziada kwa ajili ya chumbani kwangu nikainganisha na luninga mkweche wangu wa chumbani kusudi niwe naangalia startTv na Channel 10 na wala sijawahi kulipa hata senti moja mwezi wa pili huu sasa. Je malipo yamezanza lini? Hata sasa hivi naagalia StarTV kwa pembeni wanatoa muziki wa bongflava. Labda malipo inategema na mahali ulipo. Mimi niko Marekani ya kaskazini ufukweni mwa bahari ya Pacific.

    ReplyDelete
  8. Mtoa maoni wa [Tarehe July 7, 2007 6:14:00 PM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous]

    Nimekuwa nikifuatilia JumpTv kwa muda mrefu.

    StarTv ilikuwa ikilipiwa muda mrefu lakini tokea siku 46 zilizopita imekuwa bure.

    Channel 10 imekuwapo bure tokea siku 17 zilizopita!

    Ukiwa www.jumptv.com kwenye bara la Afrika, nchi ya Tanzania kuna kifute cha kubonyeza 'Watch Free' kwa channel zote mbili zinazopatikana Tz.

    Swali langu ni je, TUT wapo wapi kama walivyo wenzao KBC na Uganda National TV? Ama wanasubiri kufungua tovuti yao itakayokuwa inarusha matangazo yao wenyewe?

    Subi - nukta77.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 08, 2007

    check http://research.yale.edu/swahili/learn/?=en/node/475 upate ITV na Chanell5

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 09, 2007

    WATU WA UK HATUPATI HIZI CHANNEL ZA INTERNET ZA BONGO

    NILITAKA KUFUATILIA KIKAO CHA BUNGE LAKINI WAPI HAKUNA KITU

    NAONA WANATAKA TULIPIE

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 09, 2007

    BURE KWA BUSHI

    Jan ailibidi nikae ndani nikawa naangalia mjadala mmoja kuhusu kwanini mikoa ya kusini ni masikini?


    Thanks Michuzi unatuburudisha na kutuweka sawa sawa. Watu wangetambua kuwa wengine tunarudi nyumbani kila baada ya miaka miwili au so. na yukofika ni kwa bibi,babu, shangazi , mjomba , binamu na bado hujaenda kutoa pole za waliofiwa na walioa na kuolewa. waliojifungua ndio hawasubiri hata uende tena kuwasalimia ni kila mmoja anakuletea mtoto wake na kukutaka uwe mdamini....kwa hiyo hata kukaa chini kuona mambo ya siasa na uchumi yanaendaje TZ likizo imeisha unarudi kubeba box...lol....sio rahisi..

    Asante sana

    ReplyDelete
  12. Anony wa:
    "Tarehe July 9, 2007 2:37:00 PM EAT, WATU WA UK HATUPATI HIZI CHANNEL ZA INTERNET ZA BONGO"

    Nimefanya kitu fulani na hizo link, na inaelekea watu wanaweza kuunganisha, hivyo natuma hapo na wewe ujaribu, huenda utafaidi. Copy link unayotaka kutizama, kisha Paste kwenye "Windows Media Player" (version 10 ama 11) yako ama "Real Media Player" toleo la 11 kisha itakuonyesha kuwa ina-connect ama "buffer", subiri ikifika 100% utaona TV LIVE kama wanavyojionea waliopo nyumbani Tz.

    Links ni hizi:

    Channel TEN
    http://tinyurl.com/24awmk

    StarTv
    http://tinyurl.com/3xhap3

    Ikiwa njia hii inashindikana kwako,

    basi, nenda kwenye blog: http://nukta77.blogspot.com nimeziweka pale

    Ama nenda tovuti ya: http://video.aol.com pale kwenye "search box", taipu Channel 10 ama Star TV kisha utizame kupitia hapo.

    Wasalaam,

    Subi - nukta77.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...