mhariri mtendaji wa deiliniuzi mh. isaack mruma akitoa ujumbe wa kumuaga rasmi balozi peter kallaghe (pili shoto) anayekwenda kanada jumapili hii tayari kuanza kazi yake mpya. mh. kallaghe alikuwa ni mmoja wa wajumbe wa bodi ya tanzanian standard newspapers, ambao ni wachapishaji wa magazeti ya serikali ya deiliniuzi, habari leo na sunday news. kulia ni mwenyekiti wa bodi ya tsn mh. adolar mapunda akifuatiwa na mama kallaghe. hii ilikuwa usiku huu hoteli ya movenpiki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2007

    ccm oyee wabebeni tu watu ndo nchi yenu aiseeee.cha hichi kina wapa watu opportunitieeeeeeeeeeeeeeees... heeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2007

    Nice to see them all dressed up nicely. Watanzania siku hizi na sisi tupo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...