Home
Unlabelled
lumbesa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mungu wangu!!! Can you imagine how many trees have been cut to make such a pile???
ReplyDeleteHii ni hatari sana kwa mazingira yetu lakini dhambi hii itawala serikali na wala rushwa wake kina Richmonduli kwa kufanya bei ya umeme ngumu kama jiwe kwa mwananchi wa kawaida.
Endeleeni kutumia mkaa ndugu wadanganyika sasa mfanayaje?? Acha miti iishe yote.
Huu ukataji miti ndio utafanya taifa liishie kuwa jangwa. Jamani tutunze mazingira. Acheni kukata miti ili mpate mkaa. Serikali itabidi ipige marufuku utumiaji wa Mkaa
ReplyDeleteMheshimiwa Issa habari za leo kaka NAONA LUGHA YA PICHA HII.."..KATAMITI PANDA MTI.."..NASIKIA "..TUNAHAZINA.." YA GESI YA SONGO SONGO...
ReplyDelete