usiku huu kikosi chetu cha taifa kwenye michezo ya afrika huko algeria kimerejea kikiwa na medali moja tu ya fedha aliyoshida martin sule kwenye mbio za nusu marathon. hapa ni katibu mkuu wa kamati ya olimpiki na bingwa wa zamani wa mita 1500 filbert bayi akimpokea sule baada ya kutua dar usiku huu. shoto ni mwalimu mkongwe wa riadha nchini mzee saria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2007

    kama michezo ya afrika tunapata medali mmoja tu its absurd,some is wrong with the motherland,name any aspect and we lag behind,hizi habari nyingine usiziweke michuzi maana huku tulipo zinatuliza machozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...