


HUO MCHUMA NI GHALI SANA LAKIN NAAMINI BONGO YAMEJAA TELE MANA KUNA WATU WANAISHI NA WENGINE TUNASINDIKIZA WENZETU WAPATEISHI, ILA KAKA MICHUZI KAMABONGO KUNA MTU ANA MILIKI HIYO GARI MUANGALIE MARA MBILI LAZIMA JINA LAKE LITAKUWEPO KWENYE LIST YA J.K. NISIWATISHE SANA KARIBU SANA DUBAI MJEMJIONEE -
SCISSOR-DUBAI, UAE.
cant say that Bongo Mchuma kama huo haupo. Jinsi ninavyoelewa mie huo ni kitega uchumi vile vile kama hoteli, pantoni, hata kiwanda. Mtu ananunua kwa mkopo au cash sio kwamba kila siku limpeleke kazini. Gari ni la kukodisha kwa sherehe mbalimbali.
ReplyDeleteNimeishasikia kuwa jamaa aliweka rehani nyumba akanunua gari type hiyo na mwenyewe analiendesha.
Pia kuna funeral houses wana malimo tofauti ya kubeba majeneza na wafiwa. Germany niliona Maybach. BUSINESS mjomba
Blackmpingo
Sasaa wewe Anonymous wa July 8, 2007 3:53:00 AM EAT maaana yako nini ..hutaki watu kushirikiana
ReplyDeletekama sio wao kuwa pamoja pic za
msiba wa amina tungezipata wapi
tazama michuzi namdogo wake michuzijr wote
kitu kimoja kwa maendeleo ya pamojaa acha ushamba kama vipi
anzisha yako na wewee.. mbona husemi da chemi nae? ACHA USHAMBA wana blog wotee ushirikiano muhimu .
Annoymous wa july 7, 07 6.51pm kama hiyo michuma ipo bongo basi mpaka mwezi ulopita zilikuwepo 3 tena hammer ndogo za kawaida na sio hizo ndefuu kwahiyo kama una uhakika zipo basi bado zipo kwenye contena hazijaanza tembea barabarani.
ReplyDeleteshortly I will hire it at my marriage, what we get we should spend as well due to shortness of life span
ReplyDeleteDuu........sio mchezo hii Hummer, kweli wengine tunasindikiza wenzetu wapate kuishi :). Mtaji tosha huu wa biashara.
ReplyDeleteSasa hili gari na bei ya mafuta ya bongo,..................ama kweli kazi ipo
ReplyDeleteHummer Hiyo sio mchezo !
ReplyDeleteHuku tuna kamua kama kawaida kwenye hizo Hama ziko bwelele.
ReplyDelete