NDINGA LIMENZA KIASI CHA DAKIKA ISHIRINI ZILIZOPITA NA SIMBA INAONGOZA KWA BAO 1-0 LILOFUNGWA DAKIKA YA PILI KWA PENATI NA MCHEZAJI ODHIAMBO UWANJA WA JAMHURI MOROGORO KATIKA FAINALI YA LIGI NDOGO YA BARA AMBAPO MSHINDI ANAWAKILISHA BONGO KWENYE LIGI YA MABINGWA AFRIKA NA MSHINDI WA PILI ATACHEZA MICHUANO YA SHIRIKISHO LA SOKA AFRICA - CAF

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2007

    Ahsante muheshimiwa kaka michuzi kwa kutuweka up to date

    nakushukuru sana

    pili nimefurahi mnooooooooo kutuwambia kuwa simba inaongoza

    thanks bro

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2007

    Simba wa JIJI, fanyeni vitu vyenu.. Fungeni YANGA..

    Big up.. nasikia wamekombea kwa habari zako michuzi..

    Wewe unawasapoti timu gani sasa ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...