kwa mdau asiyemjua afande alfred tibaigana, mkuu wa kanda maalumu ya polisi dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2007

    Annaitwa Arufurwedi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2007

    Jamaa huwananifurahisha kwa rafudh yake, yare majabazi yarikkuwa na siraha yalrikuwa yakiwashabuliwa vijana wetu rakini vijana wetu wametumia njia kukroo, Bwana hapo huwa nacheka sana.
    Asante michuzi kutowekea Afdande Tibaigana.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 03, 2007

    si mchezo mjomba namkubali ile mbaya. dah na pol wangu yuko zenj ageamishwa dar igekuwa bomba. eti muholland si unamjua jamaa yuko fit. Au vp panlu!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 04, 2007

    Mheshimiwa Issa TUNASHUKURU KWA PICHA YA MHISHIMIWA.."..KAMA SIKOSEI HIYO NI SALUTI NA IMEKAMILIKA.." TUNASHUKURU JAPOKUWA PICHA NUSU...HAROO KUJA HAPA..SONGAGA..MBEREE..NTAKUPEREKA SERO..USINIRETEE ZA KURETA..EBO..

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 04, 2007

    Arrrrroooooo rkuja rhapa!! Kila kitu RAAAAAAA !! Ah mimi sasa nimeshachoka!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 04, 2007

    Sasa ndiyo anampungia nani,mbona sioni mtu anayepungiwa hapa,ama ndio style za kijeshi hizo,maan huwa naona maafande wakifanya namna hiyo wakipungiana wakiwa wawili lakini yeye namuona peke yake akipunga mkono wake

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 04, 2007

    Ni Huyu Afande, orijino wa fasheni ya mkanda mkubwa kiunono kwa akina dada, Maana hiyo fasheni inaitwa Tibaigana kwa heshima yake, yeye ndo Originator.
    Michuzi siku ukimuintavyuu muulize anajisikiaje kwa jina lake kuwa in fashion?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 04, 2007

    Jamaa wa njuu vipi ina maana uko mbali na jeshi kiasi gani kana kwamba unashindwa kutofautisha kati ya saluti na kupunga mkono kwa ishara ya kusalimia jamaa aroo ntakuarest.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 05, 2007

    yare majambazzzzzzzz yarikuwa na short machine gani ya kutengenza kienyeji,na bastora tatu na risasi 12,bado tunafanya jenero atachiment kuweza kuyatia nguvuni

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 05, 2007

    Aroooooooo afande Rumaruraa hebu rikamate hilo rijamaa na uriaresti harakaa sanaa!!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 06, 2007

    Mtoto wa Polisi ni Polisi, Alex na Lambert msasubiria nini kujoin jeshi la Polisi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...