
Msanii Juma Kassim, almaarufu kama Sir Nature, amechaguliwa kuwania tuzo za kituo cha Televisheni cha Channel O zijulikanazo kama Channel O Spirit of Africa Music Video Awards zitakazofanyika Oktoba 11 mwaka huu huko Johanesburg,Afrika Kusini.
Nature atakuwa akiwania tuzo ya video bora ya Afrika Mashariki na wimbo wake wa Mugambo, wengine waliopendekezwa kuwania tuzo hizo ni Kube wa Kenya, IDA wa Kenya akiwa na wimbo wake wa 'Make it Hot' Nameless wa Kenya akiwa na wimbo wake wa Sinzia, Peter Miles wa Uganda na wimbo wa L'ove' na Wyre wa Kenya akiwa na wimbo wa 'Make A Choice'.
shime wadau na tumpigie kura mwenzetu awe na nafasi ya kushinda. wenzetu kwa watani wa jadi na kwa mzee m7 wanachakarika ile mbaya kuwapa tafu wasanii wao. Utaratibu wa kumpigia kura Nature unaweza kuupata hapo chini
http://www.mnet.co.za/channelo/shows/nomination.asp?selnav=9
http://www.mnet.co.za/channelo/shows/nomination.asp?selnav=9


AMINAYA BABAKE NECHA.Mwanangu ileile.Kamua baba kamua baba kamua tuzo hii ni yako.
ReplyDeleteWa Majita Bugunda
WANDUGU SAMAHANI NATAFUTA MAWASILIANO YA MR 2 AKA SUGU HUKO MARAEKANI KAMA BADO YUKO HUKO.NATAKATA UJE UTUFOKEE MAHALA FULANI UGHAIBUNI
ReplyDeleteHongera Nature!
ReplyDeletenature unamuoa lini bi Pili?
ReplyDeletehongera juma
ReplyDeletehivi,kuna kitu kimoja hapa sikielewi hivi na utitiri woote ule wa video za wanamuziki wa bongo ndio kusema video moja tuu ya juma nature ndio imeonekana kufaa?
kwani za wenzetu wa kenya zina tofauti gani na zetu au hata za afrika ya kusini?
Mhh tanzania iko kazoi kweli tena sio ndogo mbaya zaidi tunapenda kujisifia bila kusubirir kusifiwa
nafikiri kuna kitu cha kujifunza hapa
acha bangi kijana
ReplyDeletemichuzi kaweka hiii taarifa ili tumpe taff mbongo mwenzetu sasa nyie mnaomjua sana huyu Jnature nakutaka kujua anmuoa lini pili, na aache kuvuta bangi? anzisheni blog yenu ya unyago ili mmfunze shwain nyie
ReplyDelete