Home
Unlabelled
mtimanyongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiyo sio dala dala Issa, speed maana yake nini wakati pipa lipo kwenye cruise?
ReplyDeleteDuh, Michuzi umeshazoea Mambo Ya Kuchimba Dawa Nini Ukiwa Unatoka Kwenu Mwakaleli Kwa Kina Mwafilombe!!...
ReplyDeleteIzz Wa
ISSA KAMA UNATAKA KUFA JIUWE MWENYEWE WAACHE ABIRIA NA NDEGE YAO, WENDELEE NA SAFARI ZAO.
ReplyDeleteIssa huwa inasemekana kuwa ndege ikiruka juu au karibu karibu na hilo tundu la Mlima Kilimanjaro inavutwa na kudodondoka. Labda ndo maana Rubani kapita mbali kiasi. Halafu si unajua tena hao wenzetu wameshadondosha ndege mbili kwa hiyo lazima wajichunge sana wasije kuharibu jina la shirika lao.
ReplyDeleteVipi, view ilikuwa poa from the Kenyan side?
ReplyDeleteanon August 8, 10:46:00 lol lol lol.
ReplyDeleteMie sina mbavu, wahahahahaha.
C'on Bro michuzi, sema labda ulikaa upande tofauti na view, so Pilot alivyosema mlima huooo, ukachelewa kwenda the right side kupiga picha, mbona sie wenye vikamera vya domestic use tunaupata fresh ingawa ndege inapita mbali na of course with a high speed. Iwe wew mwenye proffesional camera?
ReplyDeleteMichu wadau wa Arusha wanadai wamekuona unapita maeneo ya Sanawari ndani ya basi la akamba, unaelekea Dar, sasa hiyo snapu umepiga vipi kakangu? Au ndiyo mambo ya hivyo ndivyo sivyo!?
ReplyDeleteMichuzi.. wamekuweza kwenye hii... wabongo kwa madongo, NIMEWANYOSHEA MIKONO!!
ReplyDeleteI have a reason to believe hii picha kaipiga mwanyewe kama unatumia Linux angalia properties imepigwa tarehe 7/8/2007 kwa kutumia ka-kamela ka 7.2 megapixel (nothing Professionally bout Sony DSC-P200 cyber shoot)