Home
Unlabelled
ohoooo...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiyo imo..."kumalizana" inaruhusiwa
ReplyDeleteHivi hizi ajali Tanzania zitaisha lini? watu wako katikati ya mji wanakimbiza magari mpaka wanawagonga waendesha pikipiki, watembea kwa miguu, hivi kwa nini Tanzania tusithamini maisha yetu? Komesheni hii tabia kwa madereva.
ReplyDeleteTanzania bwana!!!!!!!!
ReplyDeleteMichuzi wewe ni sharp-shooter aisee. Haya matukio huwa hayatokei mara mbili na kama kamera umeacha nyumbani ndio basi tena.
ReplyDeleteHicho kichwa cha habari hapo juu kimenimaliza mbavu zangu zote aisee. Cheki konda alivyopoteza pozi halafu jamaa wa pikipiki ndio haelewi kitu kabisa inaelekea alitoka hom na buku shing' tano tu. Watamkoma.
Dereva ndio anashuka baadae, muoga sana jamaa.
Bonge la picha, hii ni exclusive man.
Ngugu yangu usikubali hawana maaana hao makonda..kwani huna PISTOL? wafanyie kama bro Dito hiyo ndiyo dawa...ha ha haa!!!wadau tulieni I am joking nawaona mshataka kurusha madongo.
ReplyDeletejamaa kubali yaishe chukua kidodogo
Mweeee wacha watu wa chini nao wafanye ma deal yao, maana mambo ya madini hawayawezi. sioni sababu ya kuacha kupokea rushwa au kutoa. Maana matawi ya juu ndio yanatufundisha, Kila mmoja anajua madhara yake, lakini hata hivyo kwa sasa ni utajijuuuu, pokea au toa bora usikamatwe.
ReplyDeleteMweeeee acheni na sisi tule virushwa vyetu vya mia tano bora siku ziende, Mungu saidia hadi hapo serikali na matawi ya juu watakapoacha huo mchezo.
KERO KWA CRDB
ReplyDeleteJamani hizi ATM zinztupa taabu sana sisi wateja wenu, mtu unafika benki unakuta mshine zote hazifanyi kazi,kwa mfano unaenda Azikiwe unakuta machine hazifanyi kazi unaenda Holland hivyohivyo, na mtu una shida ya haraka inabore sana kwa kweli.
Kingine tuwekeeni ATM sehemu zingine mbalimbali kama wenzenu wa NBC ziko kila mahali siyo mtu ufunge safari upande daladala mpaka wapi sijui.
Ni mimi Mdau.
michuzi hapo ulikuwa umepanda daladala gani? au ndo hiyo iliokuwa inaenda vingunguti?
ReplyDeleteEbwana ehhh hiyo dereva kachochea breki mara mbili ya kwanza holla ya pili holla ya tatu holla mwisho wake kajikuta kadingding the piki piki jamaa mwenye za piki piki doesnt want kuelewaz alikuwa katoka kwa kaka yake kukopa kamkuta hayupo konda mtamkoma huyo mfanya kazi wa bandarini
ReplyDeleteYEBO YEBO YEBO
ReplyDeleteKUMBE BADO ZIPO ANGALIA KONDA KAVAA YEBO YEBO YEBO ZA NJANO SI ZA KWAKE JAMANI LAKINI YEBO YEBO HATA KAMA JOTO LINAMUUMIZA YEBO YEBO SI KANUNUA MWENYEWE YEBO YEBO
SAFI SANA KIJANA YEBO YEBO MBONAANA ZILITEREZA KWENYE PEDAL YEBO YEBO ZINABADILIKA SIZE KWENDA NA HALI YA HEWA HASWA WAKATI WA JUA KALI KUTOKA NUMBER 8 HADI 10 YEBO YEBO
NJIA TATU HIZO,MAMBO YA NJIA TATU HAYO, NA MBADOOOOOO.
ReplyDeletehe he he he heeeeeeeeeee, mshangaoo acha utani
ReplyDelete