Home
Unlabelled
uwt
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michu na wadau wenzangu. Kweli nimeamini yale yaliyotabiriwa! wachana na Jembe na Nyundo watu wangu na bado yatakurupuka mengine. Ila afadhali, pole na hongera!!
ReplyDeleteadagio
Kaka Michuzi maneno hayoooooooooooooooooo!!!!!!.Kazi kweliiiiiiiii!!!!!!!.Kikulacho ki nguoni kwako.
ReplyDeleteni makosa kuuita UWT, Umoja wa Wanawake Tanzania. UWT ni umoja wa wanawake wa CCM Tanzania. Badala ya UWT nafikiri ingekuwa UWCT.
ReplyDeletemakubwa!kwanza wazazi maregesi chini pwaa,sasa mamuya uwt,haya ngoja tusubiri linalokuja.
ReplyDeleteHapa hakuna kitu huyu atakuwa ameshinikizwa tu na vigogo wenzake.
ReplyDeleteBro michuzi uwage specifik, nakuaminia kama muandishi wa habari wa siku nyingi, sasa kutokuwajibika kwa nani?, chama, huyu mama ama?
ReplyDeleteamejiuzuru au amejiuzulu?
ReplyDeleteAnony wa august 18, 1: 14 umeuliza suala la maana sana, kweli Michu mwandishi wa habari wa siku nyingi unashindwa kutofautisha 'l' na 'r', unafikiri umekuja Dar es salaam leo.
ReplyDeleteMi naona bado sana, Maregesi na huyu mama Mamuya sio uoza pekee ndani ya jembe na nyundo. Bado kuna uvundo wa kutosha sana, ukianziia na katibu wao mkuu, ni mropokaji sana na hana simile. Ila nina matumaini watazidi kusafisha jembe na nyundo, ili kiwe chama bora cha kuwakilisha hasa jembe na nyundo.
ReplyDeleteJamani Jembe na Nyundo kuna wanafiki wa kuua. Kama ni kukosea kwenye utendaji hasa kwenye sakata la kuuza sijui kukodisha sijui ndo kuwekeza jengo la Ambassador Plaza/Gogo Hotel, mwanasheria wa Umoja huu wa wanawake wa CCM ni Mh. Jaji Sinde Warioba kama sijakosea, yeye alitoa ushauri upi wa kisheria? Maana yeye ndie aliyekuwa wa kwanza kuona mapungufu ya mkataba wa waliokuwa wapangaji wao The Kilimanjaro Band/Njenje na kuushauri umoja huo kuwatimua hawa wanamuziki waliokuwa wameanza kuwekeza kwa mkataba wamiaka 5 ili huyo bepari mwenye pesa nyingi apewe.
ReplyDeleteWakati hoja ya kuipiga nyundo Ambassor Plaza inawekwa hapa mwezekaji hatajwi wakati anajulikana. Michu usijidai humjui. Mimi nilikuwa nasubiria tu nani atatolewa kafara kwa hili.
Halima sawa, ila watanzania tunahitaji maombi ya ziada maana CCM na wanafiki wake wanakoipeleka hii nchi siko!! Mambo ni mengi sana na laiti watanzania wangepata nafasi ya kuyajua kiundani, wengi wangeweza kutaka kuipindua hii takataka Jembe na Nyundo!
Michu naomba usiibanie hii maana kuna moja ya Eddo mzee wa Richimonduli umeiweka kwapani
adagio
anon wa 5:31:00 si useme tu,unaogopa nini? dili la ambassador/gogo hotel ni la manji aka mfadhili mkuu,kwani siri?
ReplyDeleteAnon. was August 18, 2007 5:31:00 PM EAT. Nena mwanangu nena usiogope.
ReplyDeletePOLE DADA KWA YALIYOKUKUTA, LAKINI KAMA HUO UBADHILIFU UMEFANYIKA NATUMAINI HUKUWA MWENYEWE MAANA VYAMA HUWA NA SIGNATORIES ZAIDI YA MMOJA. TAJA WENZAKO NAO WAUMBUKE PIA.
ReplyDeleteJAMANI MADARAKA YANAHITAJI SALA LA UTAFUNGWA KAMA SIO KUUMBUKA HIVI. MSICHEKE
Lakini ni Mzuri! Utadhani binti wa miaka 27!
ReplyDeleteMheshimiwa ISSA TUNASHUKURU KWA UJUMBE KAMA HUU “..MAMA SHIKAMOO..” HONGERA KWA KUONGOZA NA KUN’GATUKA UWT…MAMA U LOOK INTELIGENT, NA AISHII HAPO TU “..U LOOK KUTE..” HONGERA SANA.
ReplyDelete