Home
Unlabelled
barua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh huyo mshkaji noma. Naona kaamua kukamua tena
ReplyDeletewe michuzi mbona unatizungua hapo chini ?????
ReplyDeleteNaona, alipoanza kuandiak jamaa alikuwa anatomasa, kufika kati jamaa kesha vua chupi; anafika mwisho naoma wembe ule ule jamaa kashindua.
ReplyDeletepweza...
ReplyDeleteHuyo dada anahitaji msaada hiyo, Lugha na staili ya hiyo barua ahiitaji shahidi..mambo mpwito mpwito.
ReplyDeletehuyu dada si rahisi kupata msaada kwani hata barua yenyewe hajaweza kuimaliza tayari jamaa keshamkamata so hata akienda mahakamani kabla hajamaliza kuelezea jamaa atakuwa tayari keshamkwida, pole zake avumilie tu ndo ndoa zenyewe si aliapa katika shida na raha
ReplyDeleteDada wa watu hatuna la kumsaidia yani hajamaliza kuandika kakakuliwa aaaah sina mbavu hiyo kesi kiboko!
ReplyDeletewhat the hell is that, is the gal failed to finish the letter or what?It looks as if she was so happy that she forget how to write.
ReplyDeleteThis is the best by far, lmao
ReplyDeleteISSA SHEMEJI UNAMPA PIGO KAMA HIZI KAKA..WAKINA DADA WENGI WANAHUSUDU SANA MICHEZO KABILA HII.
ReplyDeleteHahaha. Kiboko!
ReplyDelete