Home
Unlabelled
BREKING NYUUUUUUZZZZZZ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa kaka michuzi unawatafutia hatari wao jamaa wataotewa ohh hakuna mjanja bongo ndio maana inaitwa bongo mimi niliingizwaga mjini hivi kuna mtu ambae hata siku moja katika maisha ajaingizwa town kweli kabisa
ReplyDeleteJamani ebu nicheke jana bwana nimemuota kaka michuzi tena na shirt yake aliyovaa miss Tanzania lakini kwa uzuri sio ubaya hope sijaota kwa nguvu maana unaweza leta hatari kwenye ndoa za watu sasa kaka michuzi anyway kazi njema
ReplyDeleteSiku zooote hizo TFF walikuwa wanasubiri nini kuwapa vijana Mshiko wao,mpaka waone mambo yasije haribika,Mweeee.
ReplyDeleteAfol
BAB KUBWA... Full motisha, hapo tuna uhakika wa ushindi
ReplyDeletehuo uwanja mwanangu kama tupo old traford or newland hapa cape town.poa kila la heri taifa starz lazima tuwape chai hao wabangubangu(wamsumbiji)
ReplyDeleteHuku ni kutaka hii timu ifungwe. Hawa wachezaji wataenda kulewa siku nzima na kutafuta mabibi hakuna kipya. Hii ni hatari, nani approve hii kitu?
ReplyDelete