wanja jipya linakuruhusu kuja na familia kucheki gemu. hii ni familia ya bosi wa kampuni ya serengeti, wadhamini wakuu wa taifa staaz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Sasa kumbe India, banladeshi yote imehamia Bongo, malalamishi ya nini kama muhindi ameshinda miss Tz? watu maneno yamezidi, hii ni karne ya 21 tujifunze kuchanganyika, hata nyie wahindi pia changanyikeni na wanachi wenzenu, ebo!

    ReplyDelete
  2. MIMI NAFIKIRI TZ SASA HIVI BAADA YA KISWAHILI NA ENGLISH LUGHA YA 3 IWE KIHINDI SIO KIFARANSA.

    HEY NEHIII SUCHE KAPETO CHORI NEHI NEHI

    ReplyDelete
  3. Ha ha nilitaka kujiuliza tangu lini wahindi wakaenda kuangali mpira !? kumbe wameletwa na Boss...LOL!

    ReplyDelete
  4. Michuzi,

    Naandika tena kulaani ubaguzi wa baadhi ya Watanzania katika blogu yako. Ninakuomba utumie wembe wako katika blogu yako kutochapisha maoni ya wabagusi au utadhaniwa wewe pia ni Mbabuzi. Mara nyingi unazuia maoni usioyapenda kasa ya CCM, kwa nini huzuiii maoni ya Kibaguzi?

    Kama Mtanzania mwenye asili ya
    Kihindi, maoni ya Wabaguzi yananikitisha. Wazawa wanapiga kelele sana dhidi ya ubaguzi nchi za nje, lakini nchini kwao, ni kitu cha kawaida kubagua MISS Tanzanai au Mhindi yoyote, ingawa ni wazaliwa wa Tanzania. Kama ni hivi, basi msilalamike mkibaguliwa na wazungu mkiwa ulaya kutokana na rangi ya ngozi yenu. Michuzi, maoni ya kibaguzi inachafua blogi yako.

    Nawakilisha ukinichapisha.

    ReplyDelete
  5. Watanzania wengi wamejaa unafiki tu, mkiwa mbele ya wahindi mnawanyenyekea kweli wawape ajira au wawafadhili hata wakiwanyanyasa hamthubutu kujitetea mnakubali tu halafu eti leo hii mnajidai mna uchungu sana Miss TZ ana asili ya Kihindi!

    Isitoshe wabantu kwa wabantu mnadharauliana wala hamheshimiani ila akitokea mhindi au mzungu mnajipendekeza na kuwanyenyekea, halafu leo hii eti ohh sijui Miss TZ Mhindi blah blah blah... sasa mnyenyekeeni basi si mshazoea, angekuwa mbantu mngebonda vilevile kama kawaida yenu ooh mara mbaya, mara kapendelewa blah blah blah... mijitu mingine Ovyoo!

    Jifunzeni kupendana na kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe kwanza, halafu muwe wakweli huo unafiki hautawapeleka popote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...