lugha iko gongana hapa...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Michu huyo jamaa hajachemka wala nini.Ana maana kuwa hana muda wa kwenda kubeba MABOX na KUOSHA MAVI WAZEE nchi za magharibi kama US/UK.Haya wadau wa ughaibuni dongo lenu hilo
    DUME

    ReplyDelete
  2. we fala wa kwanza nenda shule,unajua tofauti ya WEST na WASTE,we unafikiri tunaobeba box tunapoteza muda?we jidanganye tu!

    ReplyDelete
  3. NO TIME TO WASTE

    ReplyDelete
  4. hahaaaaa! hii ndo iinaitwa swahili overdose! mmmh
    angalau hizo shule za Lowassa zitukomboe angalau sasa tunauhakika elimu ya chini itakua sekondari, so kiinglish kitakua rechabo

    ReplyDelete
  5. maboksi ya ulaya yanalipa kinoma! si unaona huko Bongo jamaa zetu wanatesa na hioz hizo.

    ReplyDelete
  6. hivi nani Bora yule anayebeba BOKSI na kuweza kulisha, kuvalisha familia yake na ndugu zake bongo au wewe unayekaa kijiweni kupiga soga ama kwenye internet cafe kuandika pumba na unategemea mishen town upate mlo wa jioni.

    ReplyDelete
  7. Ndugu zangu mliopo Ulaya na kwingineko kutafuta maisha msipoteze muda wenu kubishana na baadhi ya watu wenye frustration waliopo Bongo, kwa wale waliosoma Saikolojia hiyo tunaita steam off! Wanapunguza ghadhabu zao za msoto kwa kutoa mineno michafu! Maisha popote bora utimize malengo yako!

    ReplyDelete
  8. duh!!we ni noma,yani hupitwi na kitu,sasa ulifikiria nini kuweka picha kama hii?ok mkkubwa ...bgup kwa kazi yako

    ReplyDelete
  9. Hiyo kali bwana misupu.Kuna nyingine imeandikwa IS UP TO YOU insteda of IT'S UP TO YOU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...