Home
Unlabelled
machozi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MACHOZI.....! SASA IKO JUU, LAKINI NAOGOPA WASIJE WAKATUTOA MACHOZI KWA KUVUNJIKA KWANI WENYEWE MNA MSEMO "MWAKA WA SHETANI" tumeona Bendi nyingi zikija na kuyeyuka kama barafu, sasa kazeni buti. Hongereni sana. (askofu KG)
ReplyDeletehongera lady jd u deserve it and enjoy ur life!!salamu toka USA.
ReplyDeleteHI JIDE NAKUFAGILIA SANA SISTER UKO JUU SANA NAKUPONGEZA KEEP IT UP MY DEAR!!
ReplyDeleteSafi sana, Nakufagilia Jide kwa ubunifu wako, hiyo idea si mchezo keep it up.Mdau Netherland
ReplyDeleteJUDITH WAMBURA UKIPENDA MUITE KOMANDO,WALLET,MRS G.HABASH.
ReplyDeleteMTU WANGU NAKUPA PONGEZI NYINGI SANA.UNATAHILI KWA MEKEKE UNAYOONYESHA.
JITAHIDI KAMA ALIVYOSEMA ASKOFU(KG) MWAKA HUU WA SHETANI.
WAKO WAPI EAST COST,TMK,WATU PORI.
TUPO PAMOJA KA SAMAKI NA MAJI.
AMINIA M2 WANGU KWELI "hazigandi"
hongera sana jd,nafurahi sana kuona wadada wanafanya kwa vitendo.Bora sio kama huyo mariam obrieno anayetamba marekani huku kwanza anaishi kwenye kichumba kimoja hapo benton harbor na tunasikia anazaa na kutishia wenzie eti atawaripoti warudishwe.Kwa wale waliouliza imfo za huyo mariam obrieno ni 269-861-6293.
ReplyDeleteSasa wewe unayetoa hizo habari za huyo mariam obrieno, ni personal speaker wake au umejisikia tu kuwa mtandao. get a life
ReplyDeleteBig up jide,lakini kitu kimoja jiweke vizuri manake picha zote unaonekana umechoka sana ni uzee nini?.na hiyo lipstick wala haifai.
ReplyDelete