Home
Unlabelled
mikonozzzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hi Bro Michu
ReplyDeleteHiyo picha na miss TZ 07 Pamoja na hiyo Jezi umetoka Bomba japo mikono ilishindwa kuvumilia keep it Up Bro.
suche bana...kemcho...marupurupu wa kazi hayo! akina sie tunawaona kwa mbali tu hao mamisi...naona umebamba kabega kake hapo
ReplyDeleteOSHWA KINYWA TANI YAKO. LAKINI HUYU BINTI ALISTAHILI, ANASTAHILI NA ATASTAHILI KUWA MISS TANZANIA KWA KARNE HII TULIYONAYO.
ReplyDeleteWAOSHWA VINYWA MIMI HAWANITII HOMA HATA KIDOGO. KAMA UNATAKA MWEUSI ASHINE, WAMESHASHINDA TANGU MASHINDANO HAYA YALIYPOANZISHWA TENA MWAKA 1994 NA TULICHOAMBULIA NI MISS AFRIKA TU.
SASA UMEFIKA WAKATI ANGALAU AFRIKA IKAIBUKA NA MISS WORLD. KUNA VIGEZO VINAVYOTUMIKA KUMPATA MSHINDI NA HUENDA HUYU RICHA AKAIBUKA NA TAJI HILO. TUKUBALI WAJAMENI AKINA MASANJA, NDARO, KINJEKETILE, NGOSHA, URIO NA WENGINEO.
NJANO-MADINI
ReplyDeleteBLUU-MAJI
KIJANI- UOTO WA ASILI
NYEUSI NI YETU SISI WAAFRIKA ASILIYA
SASA NNAOMBA MNISAIDIE HAPO UZALENDO UKO WAPI WATANZANIA.SIKATAI ANAWEZA KUWA MTANZANIA PASSPORT LAKINI SHAKILI YAKE NI MUHINDI,NDIYO MNATAKA TUSHINDE MISS WORLD HATAJULIKANA KAMA MTANZANIA WAZUNGU WATAJUA NI MUHINDI,KWAHIYO MUHESABU MISS TANZANIA HAKUNA MWAKA HUU.ILA NI MISS NDOLANGA AND MISS MAJAJI.UNAJUA KUNA VITU MTU UNAWEZA KUJIVUA LAKINI KITU KINACHOWAKILISHA NCHI MNAENDA KUTUWEKEA NYEUPE IKO WAPI KWENYE BENDERA YETU JAMANI WATATUCHEKA WATUUUUU.
sipati picha PALE UTAKAPOSHINDWA KUVUNJA REKOSI YA NANSI MISS WELDI.
ReplyDeleteYAANI NAKUPA USHAURI NI MARA MIA UKUJIPUMZISHE ZAKO KWA NDUGU ZAKO INDIA MTOTO WA WATU WASIJE KUKUANDAMA MPAKA UKOSE AMANI.
UKISHINDWA TOBA ILAI NAJUA ITAKUWA MWANZO NA MWISHO WA MISS TANZANIA KUJIFANYA MAABARA YA UTAFITI WA KUJUA MSHINDI TUTAMPATAJE.
ILA UKISHINDA INGAWA NAONA NI NGUMUUU!MI NAONA MBALI KINOMA.
KAMA UHAMINI JUST MUULIZE MDAU MAJITA ATAKWAMBIA.TULITABIRI USHINDI WAKO UKAWA KWELI.
SASA NINATABIRI KUSHINDWA KWAKO POKEA TU HAYA NI MATOKEO.
MIMI NASUBIRI MUDA. MATOKEO YA MISS WELDI CHINA TAYARI NINAYO.
JAMANI TUACHE KUWA NA "LAME IDEAS" TUKO KARNE YA ISHIRINI NA MOJA NA DUNIA SASA IMEKUWA MULTICULTURAL KWAHIYO TUJITAHIDI KUANGALIA MAMBO KWA KUTUMIA JICHO LA TATU.KUNA MTAALAMU MMOJA ALISHAWAHI SEMA,"if u have no data,no research u have the right to remain silence".SIO KWENYE UREMBO TU,HATA KWENYE SOCCER KUNA WATU WEUSI WANAPEPERUSHA BENDERA ZA NCHI ZA ULAYA,WATU KAMA WAKINA ZIZOU,VIERA NA WENGINE WENGI TU.FANYA UTAFITI KUANGALIA KWENYE HAYA MASHINDANO YA UMISS KAMA HAKUNA NCHI ZINGINE ZA ULAYA ZIMEPELEKA WASHIRIKI WEUSI AMA BACKGROUND TOFAUTI NA KWAO.HAYA MAMBO YA RACISM KWA KWELI YAMESHAPITWA NA WAKATI,KUNA WATU WAKO ULAYA,NA HUWA HAWAPENDI SANA WAZUNGU WANAPOKUWA RACIST AGAINST THEM.KWAHIYO MIMI NAONA KUNA BAADHI YA WATU NI IGNORANT TU NA HATA KAMA WAMESOMA,NAFIKIRI ELIMU HAIJAWAKOMBOA.............
ReplyDeletekwa hiyo mnataka kusema wale watu wenye ngozi nyeusi wasiwakilishe ulaya kwenye mashindano? hebu angalieni waaafrika mlivyokuwa mkiifagilia timu ya football ya ufaransa! au umlitaka wasipewe nfasi jusy kwa kuwa hawana ngozi nyeupe?
ReplyDeletena kama mfuatiliaji wa world athletics zilizomaliza leo, mnaweza kuona kuwa nchi karibu ya zote za ulaya, si italy, portugal na nyenginezo, zimewakilishwa na ngozi nyeusi....au mlitaka na wao wasipewe nafasi japo kuwa wanakipai kwa kuwa ngozi yao haiendani na rangi ya bendera yao?
watanzania ndio maisha hatupati maendeleo kwa huu huu ubaguzi
NDAKI
ReplyDeletePLEASE,PLEASE rudi darasani tena ukasome kiswahili naona kilikupita kando,theres a lot of spelling mistakes in your kiswahili.
Pole sana mwanawane kwa hiyo lugha mbofu mbofu.
WABAGUZI- Duhh kwa hili mko nyuma kishenzi mmepitwa na wakati,watu tupo karne ya 21 hatujali rangi,kabila wala dini.
HONGERA DADA JIANDAE NA MISS WORLD UILETEE SIFA TANZANIA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE including nyanda NDAKI wajinga wajinga kibao ambao ni maracist.
CHA CHANDU
Mjomba Misoup,hilo kono lako hapo begani yaani imekuwa kama maua hizo rangi zilivyo different.Alafu mbona kama anakuogopa?au anaona unamchafua kwahiyo rangi yako kama tairi la gari?
ReplyDeleteThubutu Hamuwakilishi Mtz Huyo Walah Tunamchifupa sasa hivi Tunauchungu Na nchi Yetu sisi,Na Wewe Kaka Misupu Rudisha Hizo Hela Ulizopewa Kujaza Picha Za Huyu Mdosi Maana Kampeni Yao Walihonga Mpaka Walinzi Wa getini.Hivi kaka Michuzi Hapo Wewe Na Huyo BINTI NANI MTZ ?? FAGILIA WaWAA
ReplyDeleteHizo nguo mbaya.
ReplyDeleteMICHUZI NADHANI MWILI WAKO ULISISIMUKA ULIPO WEKA MIKONO KALIBU NA KIFUA CHA BINTI TANZANIA NAFIKIRI KAMA USINGE VAA SHATI LEFU HIYO NDIZI KWENYE SURUALI INGECHOMOZA. ONA MAPIGO YA MOYO YALIVYOONGEZEKA NA KICHEKO CHA UONGO MAWAZO YOTE KWA TOTO LA KIMANGA..ANGALIA USIENDE KUSHUKA MNAZI KWA HII PICHA. HAHAHAHAHA!!!
ReplyDeleteWhats next???Rais Muhindi.....!!!!
ReplyDeleteMmmh! wabongo tumeshemsha..hivi unafikiria iko siko miss India watamueka mweusihata akishinda?!!
ReplyDeleteduuh kama kuna fadhila za kulipa kwa hao kina dr patel si mseme?
mhindi kiboko ukiona kaingia mahali ujue kuna jamabo..
michuzi mimi kwakweli nakupa tu pole na mbavu zako mhh!!Naipenda sana hii blog,kwakweli simalizi coment bila kuangua vicheko lukuki.Sasa kama huyo anasema eti shati refu limekustiri bila hivyo ndizi ingechomoka,hivi jamani kweli mh!!KIp it up michuzi,unaelimisha na kufurahisha!!
ReplyDelete