Home
Unlabelled
nyomi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MICHUZI WE KIBOKO! TUNAKUKUBALI...
ReplyDeleteHahaah nimefurahi kuona watanzania tunashirikiana kwa jambo kama hili mpaka raha, Ila ISSA MICHUZI kumbe kweli hii picha inaonesha umepiga ulikuwa upande wa "KAJAMBA NANI" ticket yako ya sh 3,000 usijali WADAU na msumbiji tutakuchangia inshaallah mungu ibariki taifa stars mungu ibariki tanzania. tuko mbali ila ISSA MICHUZI naomba kwani simu za video wewe huna? uweke youtube kidogo tuone wanavyoshangilia.
ReplyDeleteHii Michu imetulia! Mtu kibao ! duh, kama ni pre ni hivyo, je hiyo siku ya siku itakuwaje?
ReplyDeleteHongera Stars kwa ushindi, noa forward, na imarisha beki. Black Mambas lazima wanywe maji. Ushindi ni muhimu. Aluta kontinua....mapambano bado yanaendelea
Mwingi North MP Kalonzo Musyoka on being nominated to vie for the presidency in the next General Election ODM Kenya ticket, stated, inter alia, “We will consign corruption to history and make the late Tanzanian president Julius Nyerere’s assertion that the grounds of State House are sacred, a reality.”
ReplyDeleteNgw'anawane hili wanja ni babu kubwa,
ReplyDeletelinavyoonekana ngw'anawane ni kama la huku ughaibuni.
kweli kufikia kipindi ambacho vijana wenye umri kama wako ndugu yetu misosi watakapokuwa wamechukua inji hii, tutakuwa mbali, kwani sasa tutakuwa na pa kuanzia.
ndugu zetu wa nchumbija watake wasitake lazima walie tu.
tungoje kupigwa sindano za ganzi utakapofika muda wa kuambiwa lilipatikana GOTO kiasi gani...
ReplyDeleteHata Waliokaa Clouds FM na Sisi Tuliokaa Radio One Nadhani Tumeona Mpira Sawa Tu!
ReplyDeleteKwani Kulikua Na Uvumi Wale Wa Clouds FM Au Kitega Uchumi Watakua Wanaona Kwa Mbali Sana wachezaji..Mnasemaje Watu Wa Kitega Uchumi Je Ni Kweli!!
Izz Wa
Polisi wa Tanzania bwana!!
ReplyDeleteMajita
sasa watanzania wenzangu tusiangushane siku si nyingi utasikia wanja halitamaniki mikojo kila sehemu, watu wamotoa pesa nyingi kujenga so nawaomba tutunze chetu jamaniiiiiiiiii
ReplyDelete