Home
Unlabelled
pikipiki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwasababu ina bendera ya tanzania kwenye sanduku la upande wa kulia.
ReplyDeletePamoja na kuwa na bendera ya Tanzania lakini pia jamaa amepaki pikipiki yake sehemu ya baiskeli.
ReplyDeleteShabiki wa Staz huyo mwenye hiyo piki piki
ReplyDeleteKwa vile hapana tofauti na bongo
ReplyDeleteUNAYESEMA HAKUN TOFAUTI NA BONGO SI KOSA LAKO HUJAFIKA ULAYA...UNALINGANISHA KIFO NA USINGIZI?
ReplyDeleteqnony 11:47 pm uliza uelezwe..you don't know what you are talking....ha ha ha ha....ulaya kwako ni ndoto...wenzako tumezaliwa huko
ReplyDeletelakini bendera ya Tanzania kaiweka kichwa kichwa chini miguu juu,hana mana kabisa.
ReplyDeleteHAPANA, HAMJAZALIWA HUKO WALA HAMJAFIKA HUKO, INGEKUWA HIVYO MSINGEFANANISHA UJERUMANI NA TANZANIA....DUNIA MBILI TOFAUTI SANA!
ReplyDelete