Home
Unlabelled
wadau
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MH! Watu wengine bwana, sasa hiyo mijikono yenu kuizungushia kwa huyo bint ndo nini? Ana mwenyewe huyo!!!!!
ReplyDeleteYaani wewe umeona vijana wajenga nchi kuzungusha tuu mkono unaona issue ehhh je wangeshika???
ReplyDeleteNdio tunajua kama anamwenyewe ndo maana hao wamejizungushia mikono tuu,ata ingekuwa wewe mi ninavyokujua ungefanya ivoivo,acha wajipe raha wenzio ebo!!Wivu tuu
mikonozzzzzzzzzzzzz
ReplyDeleteHivi huyo ni miss universe au ni mshiriki kutoka tz wa shindano la kumtafuta miss universe?
ReplyDeleteHii kampuni haina hata mwanamke mmoja? basi mpeni kazi huyo miss Universe.
ReplyDeleteFlaviana tuma habari zako Trump Model Management New York.
ReplyDeletehttp://www.trumpmodels.com/contact.asp
MFADHAIKOZZZZZZZ...
ReplyDeleteMH! Jamani enh! Kwani hawa jamaa wameambiwa kila wakikaa na demu lazima wamwekee majimikono! Nyie si mmeoa nyie ebo!!@! Mxchxshxchhhhh!!!! Mnanikera mie mntamfanya huyo mdada ajione bomba kumbe wa kawaida tu na demu wangu kamzidi kinoma
ReplyDeleteProin ni pia Kampuni ya Johnson Lukaza. Kernel kampuni pia yake
ReplyDeleteAnony 10:26:00
ReplyDeleteNani kakuuliza jina la mwenye kampuni?