Home
Unlabelled
watasha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Warusi hao waloolewa na wabongo
ReplyDeletehaya wazalendo,uzalendo mmeuona huoo??
DUME
Wazungu wazalendo maana wako kwenye hiyo ardhi,je Dewji?Haka kauzalendo kamemshinda?
ReplyDeleteUkweli Uwanja unaleta hamu ya mtu kwenda kuangalia mechi. Wenzetu hao wanapenda fotboli ila tu, kale kauwanja kilikuwa kinaboa
ReplyDeleteHaya na hawa wazungu nao waje wakashindanie miss Tanzania 2008..ole wao,,mwakani hata kwa ganga tutaenda,,haiingii ngozi nyeupe kwenye mashindano...FULL STOP.
ReplyDeleteNYIE MAKABURU WA KITANZANIA, MBONA HAMUWAAMBII HAO WAZUNGU WAVUE HIZO T-SHIRT ZA TANZANIA?
ReplyDeleteAU KWA VILE HAPO HAKUNA KA-RAV 4?
acheni ubaguzi huo ni ubaguzi wa ukabila nyerere alisema tusiulizane dini na ukabila nchi yetu ni changa mimi watoto wangu ni wazungu weupe waqkikua na kutaka kugombea u miss haiwezekani? acheni wivu
ReplyDelete